Nimejaribu kucheki Jumia, sijaona lakini jinsi Huawei walivyotanda kwenye kona za Dar, nina uhakika zitawepo tu! Hata hivyo, nitaangalia alternative nyingine hata kama zipo! Halafu nimevutia zaidi na 8x Max, hususani kutokana na screen size yake pamoja na battery!
Nokia 6.
3GB ram
32GB rom
Bei ni 320000
Nicheck 0763976109
View attachment 1039511View attachment 1039512View attachment 1039513
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye samsung grand prime pro ya biashara aje pm aua hata hapa tuyamalize. Kwa mawasiliano zaidi 0763976109
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la tecno ubora kene camera tuDevice name:Tecno common 11(32Gb)
Condition : new
Location k/koo
Price=Tsh 400,000/
CONTACT :0782192414 nichek tufanye biasharaView attachment 1040417View attachment 1040418
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama unafanya deliverly, kuja kuchukua 400K Cash! Zote nyekundu nyekundu, mpyaa kabisa na balaband zake kutoka BoT! I'm serious!
470 top mkuuMkuu kama unafanya deliverly, kuja kuchukua 400K Cash! Zote nyekundu nyekundu, mpyaa kabisa na balaband zake kutoka BoT! I'm serious!
Au kama vipi, nizipunguze hizo 400K za hapo juu, kisha nikutandike 250K mpyaaaa, kutoka BoT lakini zitakuwa hazina balaband kwa huu mzigo! Narudia, SERIOUS BUYER!I phone 5s
Storage 16gb
Colour Gold $silver$Grey
Price 290,000tsh
Call 0653353233View attachment 1040759