Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Sipo tz hata sijui kama imefika

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu kucheki Jumia, sijaona lakini jinsi Huawei walivyotanda kwenye kona za Dar, nina uhakika zitawepo tu! Hata hivyo, nitaangalia alternative nyingine hata kama zipo! Halafu nimevutia zaidi na 8x Max, hususani kutokana na screen size yake pamoja na battery!
 
Zinahitajika hizi simu mpyaa, kama unajua duka gani naweza pata waweza nijuza, maduka meng wanauza refublished au mtumba

Samsung A3 2016 na
Samsung A5 2016.

NOTE: SEALED
 
Device name:Tecno common 11(32Gb)
Condition : new
Location k/koo
Price=Tsh 400,000/
CONTACT :0782192414 nichek tufanye biashara
20190307_144627.jpeg
20190307_144614.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom