Wauza smartphone tukutane hapa

Nauza Samsung note 8 kwa laki tano,

Kioo kimepasuka kidogo pembeni kushoto...inafanya kazi vizuri tu

SIM ni Dual na inakubali external memory card..

Contact 0767935050
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa yng umerudi tenaa baada ya mhindi kufunga duka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...

Sasa mkuu wewe unaandika kimya kimya....
Si uniquote kbsa ili nipate notifications[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?
Hamna asiyejua kama mmojawapo ni mimi....

[emoji23][emoji23][emoji23]Acha uongo mzeee.....
SEMA NYIE NDIO MNACHUKULIA MZIGO DUBAI.

Sio wafanyabiashara wote wanachukulia Dubai na china


JAMANI HUYU.....SHABANIIII......
ASIWADANGANYE ili awapige watu...
Nchi nying sanaaa wanauza simuu

KOREA(Hasa mpya)
UK (hasa mtumba)
US (hasa carrier unlocked na mpya)
SA (mtumba)
VIETNAM (Mpya nyingi)
FINLAND (Mpya sana)...
INDIA (Mpya na Used)
THAIWAN,
JAPAN,
CANADA
Na wengine wengi tuuu..
BISHA NIKULETEE STATISTICS HAPA.

Suala la kuadimika bidhaa hilo hakuna anayebisha....Ni kweli.

Ila kusema eti Wafanyabiashara wanachukulia Mizigo DUBAI kwa zaidi
Hizi ni kamba... tena za katani...
Huyo DUBAI hata Hizo simu hatengenezi ni Supplier tuu....

Usitafute justification za kuuza NOTE 5 kwa 600k kwa hii njia...
 
PHONE :iPHONE 7PLUS
CAPACITY: 128GB
BATTERY:100%
COLOUR: ROSE GOLD
CONDITION: CLEAN
PRICE: 700,000
LOCATION: SINZA MADUKANI & KARIAKOO @itechnology
Inquiries: 0714 036595
 

Attachments

  • IMG-20200318-WA0014.jpg
    98.1 KB · Views: 1
  • IMG-20200318-WA0012.jpg
    73.7 KB · Views: 1
  • IMG-20200318-WA0009.jpg
    79.6 KB · Views: 1
PHONE :iPHONE XS MAX
CAPACITY: 64GB
BATTERY: 98%
COLOUR: SILVER
CONDITION: CLEAN
PRICE: 1,750,000
LOCATION: SINZA MADUKANI & KARIAKOO @itechnology
Inquiries: 0714 036595
 

Attachments

  • IMG-20200318-WA0037.jpg
    69.5 KB · Views: 1
  • IMG-20200318-WA0034.jpg
    62.7 KB · Views: 1
  • IMG-20200318-WA0033.jpg
    63.8 KB · Views: 1
  • IMG-20200318-WA0030.jpg
    70.3 KB · Views: 1
  • IMG-20200318-WA0029.jpg
    81.2 KB · Views: 1
😂😂
 
Jamani mpambanaji wa online njoo mtaani ahahahhaahhahahhah.

Kwahiyo unadhani unapotangaza hiyo midosho yako hapo JamiiForums ni off-line!?,nyie watoto wa kusingiziwa mbona mnakuwa hivyo lakini!!


Sent using IPhone X
 
SHABANIIIII[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una mda gani hujachukua mzigo wa jumla?
Baada ya mlipuko wa CORONA VIRUS, ushacheki na agent anaye kupa mzigo??
Afu kingine hii ni biashara ukiona bei yangu juu post bei chini uuze.
Jifunze kuwa na majibu mazuri, hilo tatizo ni la kisaikolojia au wewe sio mwanaume kamili. kila mtu una muattack as if anakuomba nanliuu *

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…