JOH CARLOS
JF-Expert Member
- May 13, 2016
- 579
- 269
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mpambanaji wa mtandaoni nakukaribisha mtaani kwenye uhalisia.Poor mind
Sent using IPhone X
Kuna Samsung J5 prime 150,000Nahitaji simu ya kununua aina yeyote. Budget yangu 100k -150k. Fastaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wana jukwaa kwema......
Kama week 3 nyuma humu nilikua naweza bei za bidhaa, kuna baadhi ya watu walikuja juu bei kubwa, dalali,umeajiriwa na mhindi etc.
Nikawapa jibu moja kwa kipindi hiki bidhaa zinapanda na kama kuna mfanyabiashara ana mzigo store hauzi tena jumla, bado wakabisha.
Basi njoeni mtaani tufanye biashara maana mtaa ndio una majibu mazuri sio JF ikawa kimya.
Jana Dubai wamefunga mipaka yao na hakuna ndege kuingia.....
Dubai ndio ilikua imebaki kwa wafanyabiashara kwenda chukua mzigo.
Tutarajie vitu kupanda bei sana leo simu utaulizia bei unaambiwa 600,000 baada ya siku kadhaa utakuta 1,200,000.
Karibuni mtaani kwenye maisha halisi.
Sawa mpambanaji wa mtandaoni nakukaribisha mtaani kwenye uhalisia.
Jamani mpambanaji wa online njoo mtaani ahahahhaahhahahhah.Huna chochote unachoelewa zaidi ya kukaa nyuma ya keyboard,malaya ulikosa utamu
Sent using IPhone X
😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu nakuomba Usiache kunijib mkuu....
Umekua rafiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Mkuu sasa unadai umekulia familia ya kibiashara, kwa nn usisimamie biashara za kifamilia unataka za jf....?
Mwenye kuhitaji msimamizi me niko tayari au biashara yoyote unataka kuanzisha nipo tayari kuwa sehemu ya biashara
Mkuu hilo sio Jina lako kua mkweli mkuu....
M nakujua vzr......
Kua dalali sio shida, kukosa pesa sio shida....
Hayo ni mambo ya mda tuu maisha yanabadilika....
Inshu ni pale unapoleta ujanja ujanja na Makuzi.....
Hapa kuna watu wanamaisha mazuri wanakuchora tuu wanacheka.....
Halaf wewe ni mtu mzima kbsa mkuu....
Mkuu jitahd ujibu kwa mda ili uzi uchangamke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
Mkuu umeshakula?
Hapa umekutana na
TEMPER CONTROLAR...
Naona Unakuja taratibu....
Lengo langu upone jamaa yangu..
Maan hata mm nilikua hivyo boss
Sina nia mbaya......
M ni rafiki yako jamaa hujui tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UPDATE....
Sasa mkuu unakaza hapa halaf unanifuata PM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani mpambanaji wa online njoo mtaani ahahahhaahhahahhah.
Kuna samsung galaxy j1 prime 150Nahitaji simu ya kununua aina yeyote. Budget yangu 100k -150k. Fastaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze kuwa na majibu mazuri, hilo tatizo ni la kisaikolojia au wewe sio mwanaume kamili. kila mtu una muattack as if anakuomba nanliuu *Una mda gani hujachukua mzigo wa jumla?
Baada ya mlipuko wa CORONA VIRUS, ushacheki na agent anaye kupa mzigo??
Afu kingine hii ni biashara ukiona bei yangu juu post bei chini uuze.
Amepewa kazi na amepewa na ,[emoji533] ndo wanaume tukicomment anapaniki kipuuziMkuu jossiest....
Mbuna hujibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukikaa kimya Roho inaniuma Boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Nataka ujibu shomboo...
Njoo nikukopeshe riba 30% kwa mwezi unaweka vyeti vya form 6&4 original.Jifunze kuwa na majibu mazuri, hilo tatizo ni la kisaikolojia au wewe sio mwanaume kamili. kila mtu una muattack as if anakuomba nanliuu *
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiajiri hata kwa kidogo ulichonacho..kutaja boss bila aibu na hayo majibu yako unatutisha sana, boss wako anakupa kiburi.Njoo nikukopeshe riba 30% kwa mwezi unaweka vyeti vya form 6&4 original.