Boss nakujibu kwa mara ya mwisho, siwezi ajiriwa na mhindi kitambo nafanya maisha, udalali nimefanya nimeuza vioo na rims za. Magari.
Njoo dukani boss uongee na mwajiri wangu maana umeanza hadi kuleta mambo ya facebook hata mara ya mwisho kutumia sijui ni lini.
Familia yes nimezaliwa kwenye familia ya wafanya biashara najua lugha na jinsi ya kumfanya mteja anunue bidhaa. Sio kwamba najigamba hapa.
Nipo hapa kitambo natengeneza pesa,
Aya kukusaidia tu jamaa angu jina langu official ni Joseph James
Facebook nilisajili Jossiest Carson Jr kaangalie mara ya mwisho lini nimetumia mwisho njoo nikufundishe hata kutengeneza 10,000 kwa siku ujinga utakuisha maana unachozusha hapa ni umbea kama wa kike.
0714 036595 Nicheki hapo uaminifu muhimu.Huu ni mchongo kabisa mkuu.. napataje haya maujuzi ya kumake10 per day. Msaada mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
0714 036595 Nicheki hapo uaminifu muhimu.
We jamaa mbona simu zako ukiambiwa ukweli unavimba ila za wenzako mishipa inakutoka au unafikiri tumesahauBiashara imekuja kuwa ngumu hadi watu wazima wameanza post biashara na vichambo juu ahahahahahahahahha.
Genuine 6s na 7 hizo sealed si tunaweka kwa 5,000 + boksi 3000. Unatumia tu 8000 kikubwa mkono uingie mdomoni ila hakuna genuine 5-xsmas zote mafanga.
Mzigo mpya simu Genuine tu Siuzi Refurbished
View attachment 1402796View attachment 1402797View attachment 1402798View attachment 1402799View attachment 1402800View attachment 1402802View attachment 1402803View attachment 1402804View attachment 1402805View attachment 1402806View attachment 1402807View attachment 1402808View attachment 1402809View attachment 1402810View attachment 1402811
Sent using Jamii Forums mobile app
A51 bei ikoje?S20 - 1,980,000/=
S20+ - 2,198,000/=
S20 ultra - 2,780,000/=
Mwenye uhiataji na simu ya kutumia kwa bei chee ipo hapa.
Htc M8
Tsh: 60,000 tu
Haina tatizo lolote
Unaweza weka nyumbani kama emergency phone
Inquiries: 0714 036595
Location:Sinza madukani.
Jiajiri hata kwa kidogo ulichonacho..kutaja boss bila aibu na hayo majibu yako unatutisha sana, boss wako anakupa kiburi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina tatizo naibwaga mzee.
A51 680,000 sealed boss