Boss nakujibu kwa mara ya mwisho, siwezi ajiriwa na mhindi kitambo nafanya maisha, udalali nimefanya nimeuza vioo na rims za. Magari.
Njoo dukani boss uongee na mwajiri wangu maana umeanza hadi kuleta mambo ya facebook hata mara ya mwisho kutumia sijui ni lini.
Familia yes nimezaliwa kwenye familia ya wafanya biashara najua lugha na jinsi ya kumfanya mteja anunue bidhaa. Sio kwamba najigamba hapa.
Nipo hapa kitambo natengeneza pesa,
Aya kukusaidia tu jamaa angu jina langu official ni Joseph James
Facebook nilisajili Jossiest Carson Jr kaangalie mara ya mwisho lini nimetumia mwisho njoo nikufundishe hata kutengeneza 10,000 kwa siku ujinga utakuisha maana unachozusha hapa ni umbea kama wa kike.