Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Sony Xperia Z iko katika hali nzuri imekuwa ikitumika na msichana bei 370,000/- mwenye uhitaji anipm
 
Nauza samsung galaxy s6 32gb, imetumika miezi miwili. Inakuja na box na charger, bei tsh 980,000. Anayehitaji nichek at 0717301520
 

Attachments

  • IMG-20150812-WA0008.jpg
    IMG-20150812-WA0008.jpg
    70.7 KB · Views: 258
  • IMG-20150812-WA0007.jpg
    IMG-20150812-WA0007.jpg
    44.3 KB · Views: 229
  • IMG-20150812-WA0003.jpg
    IMG-20150812-WA0003.jpg
    69.9 KB · Views: 225
Nauza htc one max, 16gb. Imetumika miezi minne, iko kwenye hali nzuri. Bei tsh 480,000, inakuja na charger.
 

Attachments

  • IMG-20150809-WA0000.jpg
    IMG-20150809-WA0000.jpg
    27.3 KB · Views: 244
  • IMG-20150809-WA0003.jpg
    IMG-20150809-WA0003.jpg
    29.9 KB · Views: 221
  • IMG-20150809-WA0007.jpg
    IMG-20150809-WA0007.jpg
    46.6 KB · Views: 218
full boxed iphone 6 plus(16Gb) ..
mil 1.4....

0765464630
 
Nataka Samsung j1 mwenye nayo anipm na bei
 
Samsung Galaxy 5 only used for one and a half months!
Price: 600,000
 
Nina elfu 70. Nahitaji smartphone used. Iwe kwenye hali nzuri..
Mwenye nayo anicheki kwa #0756851815 au 0673851815. Ukiwa Mwanza itakuwa vizuri zaidi.
 
nina nokia lumia 720 used 200,00
nina samsung s3 full box... 270,000 mpya..
nina samsung galaxy core 2 used... 200,000

simu zote zipo kwenye hali nzuri sanaa..


contact 0654766056
 
Wadau nina blackberry z10 nauza 350,000,pia ninayo galaxy s5 nauza 500,000 ina saa yake ambapo simu unaweza kuiacha nyumbani ukavaa saa tu na ukaendelea kupokea simu,kupiga,kutuma sms n.k.in short ni watch gear fit.simu zimesimama.nicheki kwa namba 0712484858.
 
Vip kuna simu yangu aina ya Tecno m3 imejifunga naomba msaaada jinsi ya kuifungua
 
Back
Top Bottom