Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Kwa maelezo ya awali nimekupata...hayo ya pili nafikir unamanisha hivyiView attachment 1064800View attachment 1064801
very big YES, hicho ndio nilichokua namaanisha, kwa picha hii moja tuu unagundua, hio simu ni refub, mtumba na unlocked US,
huwezi ukakuta samsung imeaandikwa kama hivyo Galaxy s9+ halaf hapo juu hio model iwe F/DS labda accidentialy, lazima ukute km hvyo U,although unlocked za U models ni afadhari kuliko T, V n.k
 
very big YES, hicho ndio nilichokua namaanisha, kwa picha hii moja tuu unagundua, hio simu ni refub, mtumba na unlocked US,
huwezi ukakuta samsung imeaandikwa kama hivyo Galaxy s9+ halaf hapo juu hio model iwe F/DS labda accidentialy, lazima ukute km hvyo U,although unlocked za U models ni afadhari kuliko T, V n.k
Sasa hiz ambazo ni za kweli ntazipata wapi mana kuna ufaham nataka nijitoe ndy mana naulizia kabla ya.....hlf na bei yake mana hiyo niliyopost S9 plus wanauza 1.45M na wengn nimechek wanauza 1.35M
 
Inauzwa wapi
Hapa hapa bongo...zipo za hadi 2+. Hiyo ni Apple watch series 3. Hii ni series 4..1.5M
20190407_113309_rmscr-1.jpeg
 
very big YES, hicho ndio nilichokua namaanisha, kwa picha hii moja tuu unagundua, hio simu ni refub, mtumba na unlocked US,
huwezi ukakuta samsung imeaandikwa kama hivyo Galaxy s9+ halaf hapo juu hio model iwe F/DS labda accidentialy, lazima ukute km hvyo U,although unlocked za U models ni afadhari kuliko T, V n.k
Aseee nimeipata
20190407_115214_rmscr-1.jpeg
 
Asante nimepata somo hapa
nimeona hapo kwenye model SM-G928T, siku nyingne ukiona samsung yyt inayoishia na herufi tofauti na F/DS mf SM-G928F/DS au haina heruf nyuma ni namba tu kimbia, mf SM-G9280, ujue unauziwa unlocked na mtumba iliyotumika kwa angalau 2 yrs, na shida yake kubwa inakua kwenye network, unaweza usigundue kama upo sehem yenye network nzur , ila ukienda sehem yenye shda kdg tu ya network yako itasumbua ila nyingne zitapga kazi,
kwa ufup ni zile simu ambazo kwa huku bongo tunasema zimeflashiwa, au kwa lungha nyingne ni kama zile simu zinazouzwa kwa promotions na tigo ambapo lain lazima iwe ya tigo/inasoma tigo tu, sasa ili utumie lain za mitandao yote unaenda kwa wajanja wanaiflash,
kimbembe cha ku flash simu najua weng tunakifaham,

Hivyo epuka simu zinazmishia na heruf kama T, V, AT&T n.k hizo herufi ni majina ya zile kampuni za simu zilizoingia ubia na samsung: T- for T-mobile, V- for Verizon, AT&T- for american telephone and telegram.

pili epuka samsung yoyote ambayo imeandikwa jina kwa nyuma chini mf galaxy s6+ tofaut na neno samsung kwa nyuma juu, inatakiwa juu kue na neno samsung, chini kue na info za simu kwa maandisi madogo mf model(na hapa ndio unatakiwa ujue ile model kama ni hayo ma T, au F/DS) imei n.k au kama ni lain mbili watakuandikia neno DUOS juu ya hayo maandish madogo, kwaio ukiona tofaut na hvyo kimbia, na pia kama hakujaandikwa chochote kbsa pia anza kutumia akili yako vzr.

Mara nying refubs ndio zinakua na haya mapicha picha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeona hapo kwenye model SM-G928T, siku nyingne ukiona samsung yyt inayoishia na herufi tofauti na F/DS mf SM-G928F/DS au haina heruf nyuma ni namba tu kimbia, mf SM-G9280, ujue unauziwa unlocked na mtumba iliyotumika kwa angalau 2 yrs, na shida yake kubwa inakua kwenye network, unaweza usigundue kama upo sehem yenye network nzur , ila ukienda sehem yenye shda kdg tu ya network yako itasumbua ila nyingne zitapga kazi,
kwa ufup ni zile simu ambazo kwa huku bongo tunasema zimeflashiwa, au kwa lungha nyingne ni kama zile simu zinazouzwa kwa promotions na tigo ambapo lain lazima iwe ya tigo/inasoma tigo tu, sasa ili utumie lain za mitandao yote unaenda kwa wajanja wanaiflash,
kimbembe cha ku flash simu najua weng tunakifaham,

Hivyo epuka simu zinazmishia na heruf kama T, V, AT&T n.k hizo herufi ni majina ya zile kampuni za simu zilizoingia ubia na samsung: T- for T-mobile, V- for Verizon, AT&T- for american telephone and telegram.

pili epuka samsung yoyote ambayo imeandikwa jina kwa nyuma chini mf galaxy s6+ tofaut na neno samsung kwa nyuma juu, inatakiwa juu kue na neno samsung, chini kue na info za simu kwa maandisi madogo mf model(na hapa ndio unatakiwa ujue ile model kama ni hayo ma T, au F/DS) imei n.k au kama ni lain mbili watakuandikia neno DUOS juu ya hayo maandish madogo, kwaio ukiona tofaut na hvyo kimbia, na pia kama hakujaandikwa chochote kbsa pia anza kutumia akili yako vzr.

Mara nying refubs ndio zinakua na haya mapicha picha.
Unajua maana ya kuflash simu au unapumbaza uma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana ya kuflash simu au unapumbaza uma?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa bahati nzuri nipogo makini sana, hakuna sehemu nimezingumzia maana ya ku flash simu, ila nilichosema n 'huku kwetu unlocked ndio tunasema zilizofalshiwa' kusema kitu haimaanishi upo sahihii, mara ngapi unakutana
/unaskia mtu anasema nataka nika flash hii simu yangu isome laini zote? Haya yalikua maneno ya kawaida sana hapo nyuma kdg watu walivyokua wananunua zile simu za promotions za voda au tigo, hii haimaanish wapo sahihi maana ukweli ni ku unlock, tena specificaly carrier unlock, lakini ushawahi sikia mtu akisema nataka nika unlock simu yangu? Hii ni kwa sbb halijazoeleka huku futuhi land, na chanzo ni mafundi wetu ambao wengi wakishaunganisha simu na pc tuu basi wanaita ku flash,

Mwisho tumia lugha nzuri ndugu hutapungukiwa chochote, akhsante
 
kwa bahati nzuri nipogo makini sana, hakuna sehemu nimezingumzia maana ya ku flash simu, ila nilichosema n 'huku kwetu unlocked ndio tunasema zilizofalshiwa' kusema kitu haimaanishi upo sahihii, mara ngapi unakutana
/unaskia mtu anasema nataka nika flash hii simu yangu isome laini zote? Haya yalikua maneno ya kawaida hapo nyuma kdg watu walivyokua wananunua simu za voda au tigo, hii haimaanish wapo sahihi maana ukweli ni ku unlock, tena specificaly carrier unlock.

Mwisho tumia lunga nzuri ndugu hutapungukiwa chochote
Ok sorry kwa lugha chafu, lakini nilikuwa najaribu kutafuta uhusiano kati ya simu iliyo flashiwa na signal strength. Ila kuhusu simu unazosemea zipo nimekutana nazo nyingi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeona hapo kwenye model SM-G928T, siku nyingne ukiona samsung yyt inayoishia na herufi tofauti na F/DS mf SM-G928F/DS au haina heruf nyuma ni namba tu kimbia, mf SM-G9280, ujue unauziwa unlocked na mtumba iliyotumika kwa angalau 2 yrs, na shida yake kubwa inakua kwenye network, unaweza usigundue kama upo sehem yenye network nzur , ila ukienda sehem yenye shda kdg tu ya network yako itasumbua ila nyingne zitapga kazi,
kwa ufup ni zile simu ambazo kwa huku bongo tunasema zimeflashiwa, au kwa lungha nyingne ni kama zile simu zinazouzwa kwa promotions na tigo ambapo lain lazima iwe ya tigo/inasoma tigo tu, sasa ili utumie lain za mitandao yote unaenda kwa wajanja wanaiflash,
kimbembe cha ku flash simu najua weng tunakifaham,

Hivyo epuka simu zinazmishia na heruf kama T, V, AT&T n.k hizo herufi ni majina ya zile kampuni za simu zilizoingia ubia na samsung: T- for T-mobile, V- for Verizon, AT&T- for american telephone and telegram.

pili epuka samsung yoyote ambayo imeandikwa jina kwa nyuma chini mf galaxy s6+ tofaut na neno samsung kwa nyuma juu, inatakiwa juu kue na neno samsung, chini kue na info za simu kwa maandisi madogo mf model(na hapa ndio unatakiwa ujue ile model kama ni hayo ma T, au F/DS) imei n.k au kama ni lain mbili watakuandikia neno DUOS juu ya hayo maandish madogo, kwaio ukiona tofaut na hvyo kimbia, na pia kama hakujaandikwa chochote kbsa pia anza kutumia akili yako vzr.

Mara nying refubs ndio zinakua na haya mapicha picha.
Kimbembe cha kuflash!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom