Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #21
Atleast hii kutangaza mafanikio ni nzuri, naweza kuwa na interest za kuuliza zaidiOkay nimekupata.
_____________
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.
Labda wewe hawajalkukwaza mm walishanikwaza nikawachukia hata mtu a niambie amenunua chopa sitaki kusikia hiyo Mikitu, gnld bla blaHa ha ha mambo yameanza hivo
Kuna mtu online alianza hivo kama una laki mbili, njoo tufanye biashara bla bla faida mara mbili nikauliza akaniambia njoo whatsapp, nikaenda akaniunganisha na mtu mwingine, huyo mtu akatuma video anajieleza Daaah nlichokaLabda wewe hawajalkukwaza mm walishanikwaza nikawachukia hata mtu a niambie amenunua chopa sitaki kusikia hiyo Mikitu, gnld bla bla
Wana jitahidi kwa kudanganya watu? Hata Mungu hapendi uongoForever living. Wanajitahidi mungu anawaona atawapa njia kazaneni maana dunia ndo katka vtabu waliandika mtakula kwa jasho.
Amen
Kahamia Kanda ya Kati kwa sasa!Wasalimie jiji la singida
[emoji87] [emoji115] [emoji87] [emoji115]Forever living. Wanajitahidi mungu anawaona atawapa njia kazaneni maana dunia ndo katka vtabu waliandika mtakula kwa jasho.
Amen
Hapana sio kudanganya watu.Wana jitahidi kwa kudanganya watu? Hata Mungu hapendi uongo
Me wa3Kunamkenya mmoja fb alinifta mi nikajua ni mchongo wa maana kumbe ni ujinga wa forever..ni anatuma vipeperushi na ma quote yao kwenye pm yangu balaaa
Yani badala ufurahie biashara unakaa umenuna teh wakasome hii mbinu yao ujinga mtupuKunamkenya mmoja fb alinifta mi nikajua ni mchongo wa maana kumbe ni ujinga wa forever..ni anatuma vipeperushi na ma quote yao kwenye pm yangu balaaa