Wauzaji wa matofali badilikeni

Kiluvya kwa sumaye karibu na kibaha kisarawe hivi
Ni kampuni ya udalali, na maeneo yao yamepimwa na baada ya kumaliza deni lako wanakusaidia kupata hati yako safi ndani ya miez miwili, binafsi nimechukua mwezi huu. Ingawa pia wana maeneo sehemu mbali mbali.
 
Nilikuwa na bajeti ya 2.7mil nikitaka tofari si chini ya 3,000. Sikutegemea ningekosa ndo maana nikatafuta mwenye chini ya hapo na sababu hasa inayowafanya wakomae na bei ili hali wakilia vyuma vimekaza
Hasa kama budget yako ni 2.7M c ungechukua tofali zinazoendana na pesa uliyo nayo sasa shida ipo wapi?

Ujue ukivyatua tofali mwenyewe kipindi kile cement ilikuwa inauzwa elfu9-11 tofali 1 gharama yake ilikuwa inafikia 700 so kwa mtu anayefanya biashara ni ngumu sana kukuuzia kwa bei uliyotaka wewe
 
Nunu cement na mchanga ufyatue mwenyewe. tatizo mnapenda kutafuniwa , kwanza utakuta tofali zenyewe ni biscut

Nyingi biscuit haswa!!! wauzaji mfuko mmoja wa cement tofali 55-60

kwa wastani wa tofali 43-45 kwa mfuko mmoja; mfano sasa hv baadhi ya sehemu mfuko wa cement (twiga) ni sh elfu 15; ukinunua mifuko 25 ni sawa na (375,000) ;usafir approximately waweza tumia sio chini ya elfu thelathini kama sio mbali sana kutoka duka la cement; gharama za kufyatua kwaida ni sh 5000 kila mfuko X 25 = 125,000; gharama za maji ya kufyatulia na kumwagia huwezi tumia zaidi ya elfu 50 ;gharama ya kukodi machine ni elfu 25 kwa mifuko 25; gari 1 kubwa za mchanga ( ni 160,000-260,000 inategemea na umbali); ukichukua gari moja ya mchanga kwa ajili ya mifuko 25 ya cement pamoja na gharama za maji na kufyatua =====sawa na 835,000 (maximum);735,000 (minimum); ambapo kwa wastani wa tofali 43 kila mfuko utapata jumla ya tofali 1075 ; ambapo ukinunua tofali sh 1000 >>>>=1075 x1000= 1,075,000 >>>> 1,075,000-835,000= utakuwa umesave 240,000/=


Aproximatelly ukifyatua mwenyewe utakuwa unasave sh 240,000/= kwa kila tofali 1075: kwa mahesabu ya haraka haraka (maximum approximation)
 
Unaweza kuuziwa hiyo 800/= au 700/= ila utakuwa umekula kichapo cha ubora, ni sawa kwa mama ntilie unakula na 5 star hotel unakula pia, ila standard ni mbingu na aridhi, mbali mno.
 
Wewe nimekuelewa!
 
Ni kampuni ya udalali, na maeneo yao yamepimwa na baada ya kumaliza deni lako wanakusaidia kupata hati yako safi ndani ya miez miwili, binafsi nimechukua mwezi huu. Ingawa pia wana maeneo sehemu mbali mbali.
Nipe namba zao
 
Mkuu acha kulialia. Weye ndie unaetutia hasara sisi wauza matofali. Hebu twende sawa: 1,200 - 800 = 400 x 3,000 = Tsh 1,200,000 = hasara. Unaona eeh?
 
Mkuu acha kulialia. Weye ndie unaetutia hasara sisi wauza matofali. Hebu twende sawa: 1,200 - 800 = 400 x 3,000 = Tsh 1,200,000 = hasara. Unaona eeh?
Nimepata jamaa kaniuzia faster fastet kwa 950/= hadi site! Na nyie acheni hizo!! Nilijua ningepata! Ngangania 1,200 usawa huu???
 
Umasikini wako....tu
Tofali zetu hazichachi
Endelea kupanga....kujenga wewe bado
Au ndo unajifunza...
Oook Samahani kumbe una migholofa

Karibu tena...
Tofali za kuchoma zipo tshs 30 moja
Hapa Msata
Kwa bei hiyo linakuwa tayari limechomwa au bado?
 
Huu uzi umenikumbusha ndoto niliyoota alfajiri ya leo......

Kwa sisi tunaoishi shamba, huwa tunafyatua tofali wenyewe, naona inakuwa nafuu kuliko kununua.
 
tofali haziozi mkuu

Tofali ni kama wine,kadri zinavyo kaa sana ndio uimara wake

Pia ww huna uzoefu wa biashara ya matofali, yaani kwa kuuliza wauzaji zaidi ya watano then wanakupa the same price nikipimo tosha kwamba wamekuzidi kwanye maarifa ya hiyo biashara na ulitakiwa uwe kimya wala hata kupost usinge thubutu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…