Wauzaji wa matofali badilikeni

Wauzaji wa matofali badilikeni

Siku hizi biashara ya kuuza matofali imeshamiri sana kutokana na watu wengi kununua mashine za kutumia umeme katika kuchanganya cement na mchanga. Tatizo ni kuwa wafanyabiashara ya matofali wote ni kama wanakariri bei ya soko ni 1,000 au 1,100 au 1,200. Sasa unakuta kila mmoja ana matofali kibao yamemdodea kutokana na usawa mgumu; hata wajenzi hawawatumi mafundi wanaenda kununua wenyewe kwa kubargain.

Mimi nilikuwa nataka kama tofali 3,000 hivi nikapitia wauza tofali kama 5 hivi wote wanakomaa kwa bei moja ya 1,100? Mimi nilikuwa nahitaji kwa 800 au 900 kwa kulipa 2.4m au 2.7mil. Sasa wewe unakomaa na bei yako alafu tofali zinakudodea, si ungechukua hiyo 2.7 kwa vile nanunua mengi ukazungushia hiyo hela hata kama faida ni kidogo kuliko kukomaa na ndizi bei 200 wakati zinaanza kuoza? Hata tofali zikikaa sana hupoteza uimara wake.

Wanajanvi nisaidieni hili limekaaje?
Kwahiyo lengo lako tujuwe kama na wewe unajenga banda lako?
 
kwanini usifyatue mwenyewe mfyatuaji anakuchaji kila mfuko elfu 5 kukodi mashine elfu 5 utakuta kwa pesa hiyo utapata matofali kwa bei nzuri na yaliyo bora kuliko haya mfuko wanatoa hadi tofali 40
 
Kwahiyo lengo lako tujuwe kama na wewe unajenga banda lako?
Kama kujenga nilishajenga saana! Nilitaka kujua kwanini wauzaji wa tofari hukomaa na bei moja utafikiri wameambizana Dar es Salaam nzima bei ni moja? Why?
 
Kama kujenga nilishajenga saana! Nilitaka kujua kwanini wauzaji wa tofari hukomaa na bei moja utafikiri wameambizana Dar es Salaam nzima bei ni moja? Why?
Umejenga au umehifadhi matofali sehemu yasiibiwe?

Unaelewa tofauti ya biashara na huduma?
 
Mimi nadhani tofali iliyotengenezwa kwa cement imara na ratio nzuri ya mchanga haiharibiki kama mtoa maada alivosema .....

N.B Chukua hiyo 2.7 yako kafyatue tofali[emoji48]
 
Nyingi biscuit haswa!!! wauzaji mfuko mmoja wa cement tofali 55-60

kwa wastani wa tofali 43-45 kwa mfuko mmoja; mfano sasa hv baadhi ya sehemu mfuko wa cement (twiga) ni sh elfu 15; ukinunua mifuko 25 ni sawa na (375,000) ;usafir approxomately waweza tumia sio chini ya elfu thelathini kama sio mbali sana kutoka duka la cement; gharama za kufyatua kwaida ni sh 5000 kila mfuko X 25 = 125,000; gharama za maji ya kufyatulia na kumwagia huwezi tumia zaidi ya elfu 50 ;gharama ya kukodi machine ni elfu 25 kwa mifuko 25; gari 1 kubwa za mchanga ( ni 160,000-260,000 inategemea na umbali); ukichukua gari moja ya mchanga kwa ajili ya mifuko 25 ya cement pamoja na gharama za maji na kufyatua =====sawa na 835,000 (maximum);735,000 (minimum); ambapo kwa wastani wa tofali 43 kila mfuko utapata jumla ya tofali 1075 ; ambapo ukinunua tofali sh 1000 >>>>=1075 x1000= 1,075,000 >>>> 1,075,000-835,000= utakuwa umesave 240,000/=


Aproximatelly ukifyatua mweneywe utakuwa unasave sh 240,000/= kwa kila tofali 1075: kwa mahesabu ya haraka haraka (maximum approximation)
Mbona hujaweka hesabu za vibarua? Kukodisha nashine au kununua?
 
Tofali bei yake ni Tsh1,000/= mkuu ukipata za chini ya bei hiyo jua pana walakinil.
 
Siku hizi biashara ya kuuza matofali imeshamiri sana kutokana na watu wengi kununua mashine za kutumia umeme katika kuchanganya cement na mchanga. Tatizo ni kuwa wafanyabiashara ya matofali wote ni kama wanakariri bei ya soko ni 1,000 au 1,100 au 1,200. Sasa unakuta kila mmoja ana matofali kibao yamemdodea kutokana na usawa mgumu; hata wajenzi hawawatumi mafundi wanaenda kununua wenyewe kwa kubargain.

Mimi nilikuwa nataka kama tofali 3,000 hivi nikapitia wauza tofali kama 5 hivi wote wanakomaa kwa bei moja ya 1,100? Mimi nilikuwa nahitaji kwa 800 au 900 kwa kulipa 2.4m au 2.7mil. Sasa wewe unakomaa na bei yako alafu tofali zinakudodea, si ungechukua hiyo 2.7 kwa vile nanunua mengi ukazungushia hiyo hela hata kama faida ni kidogo kuliko kukomaa na ndizi bei 200 wakati zinaanza kuoza? Hata tofali zikikaa sana hupoteza uimara wake.

Wanajanvi nisaidieni hili limekaaje?
Always, cheaper is expensive brother!!!
 
Nyingi biscuit haswa!!! wauzaji mfuko mmoja wa cement tofali 55-60

kwa wastani wa tofali 43-45 kwa mfuko mmoja; mfano sasa hv baadhi ya sehemu mfuko wa cement (twiga) ni sh elfu 15; ukinunua mifuko 25 ni sawa na (375,000) ;usafir approxomately waweza tumia sio chini ya elfu thelathini kama sio mbali sana kutoka duka la cement; gharama za kufyatua kwaida ni sh 5000 kila mfuko X 25 = 125,000; gharama za maji ya kufyatulia na kumwagia huwezi tumia zaidi ya elfu 50 ;gharama ya kukodi machine ni elfu 25 kwa mifuko 25; gari 1 kubwa za mchanga ( ni 160,000-260,000 inategemea na umbali); ukichukua gari moja ya mchanga kwa ajili ya mifuko 25 ya cement pamoja na gharama za maji na kufyatua =====sawa na 835,000 (maximum);735,000 (minimum); ambapo kwa wastani wa tofali 43 kila mfuko utapata jumla ya tofali 1075 ; ambapo ukinunua tofali sh 1000 >>>>=1075 x1000= 1,075,000 >>>> 1,075,000-835,000= utakuwa umesave 240,000/=


Aproximatelly ukifyatua mweneywe utakuwa unasave sh 240,000/= kwa kila tofali 1075: kwa mahesabu ya haraka haraka (maximum approximation)
Kwahiyo kwa hizo tofali 3000 anazotaka yeye atakuwa amesave laki saba na ushee Tsh 700,000 +
 
Asante kwa Tangazo mkuu
Mwaka ukiisha na ww unanyanyua mikono na kumshukuru Mungu kuwa na plot, then mwakani unaanza kukusanya tofali kdg kdg,baba ubaya akiingia awamu ya pili nawe unakuta ushasimamisha house.
 
Siku hizi biashara ya kuuza matofali imeshamiri sana kutokana na watu wengi kununua mashine za kutumia umeme katika kuchanganya cement na mchanga. Tatizo ni kuwa wafanyabiashara ya matofali wote ni kama wanakariri bei ya soko ni 1,000 au 1,100 au 1,200. Sasa unakuta kila mmoja ana matofali kibao yamemdodea kutokana na usawa mgumu; hata wajenzi hawawatumi mafundi wanaenda kununua wenyewe kwa kubargain.

Mimi nilikuwa nataka kama tofali 3,000 hivi nikapitia wauza tofali kama 5 hivi wote wanakomaa kwa bei moja ya 1,100? Mimi nilikuwa nahitaji kwa 800 au 900 kwa kulipa 2.4m au 2.7mil. Sasa wewe unakomaa na bei yako alafu tofali zinakudodea, si ungechukua hiyo 2.7 kwa vile nanunua mengi ukazungushia hiyo hela hata kama faida ni kidogo kuliko kukomaa na ndizi bei 200 wakati zinaanza kuoza? Hata tofali zikikaa sana hupoteza uimara wake.

Wanajanvi nisaidieni hili limekaaje?
Watu wa pwani anakuwa anauza tusamaki tuwili ila ukija unataka kutununua twote atakwambia hawezi kuuza zote ...anakuuliza unataka kununua wote ili yeye abaki na nini cha kuuza? anakwambia kama hutaki mmoja bora uondoke yeye anataka wa mmoja mmoja.

Uenda hii ikawa ndo tabia iliyosambaa hadi kwa wauza Tofari, ma zero brain!
 
Siku hizi biashara ya kuuza matofali imeshamiri sana kutokana na watu wengi kununua mashine za kutumia umeme katika kuchanganya cement na mchanga. Tatizo ni kuwa wafanyabiashara ya matofali wote ni kama wanakariri bei ya soko ni 1,000 au 1,100 au 1,200. Sasa unakuta kila mmoja ana matofali kibao yamemdodea kutokana na usawa mgumu; hata wajenzi hawawatumi mafundi wanaenda kununua wenyewe kwa kubargain.

Mimi nilikuwa nataka kama tofali 3,000 hivi nikapitia wauza tofali kama 5 hivi wote wanakomaa kwa bei moja ya 1,100? Mimi nilikuwa nahitaji kwa 800 au 900 kwa kulipa 2.4m au 2.7mil. Sasa wewe unakomaa na bei yako alafu tofali zinakudodea, si ungechukua hiyo 2.7 kwa vile nanunua mengi ukazungushia hiyo hela hata kama faida ni kidogo kuliko kukomaa na ndizi bei 200 wakati zinaanza kuoza? Hata tofali zikikaa sana hupoteza uimara wake.

Wanajanvi nisaidieni hili limekaaje?
Sijaona mantiki ya uzi zaidi ya malalamiko. .
Mtu anaweka bei yake kutokana na utengenezej wenyewe. Inawezekana labda ulipata kwa bei ya chini lakini ubora wake ukoje? Kwenye tofali kuna wengine hawazingatii ratio ya cement na mchanga.
Na tofali likizid kukaa tena kipindi kama hichi cha mvua linakomaa kinoma.
 
Back
Top Bottom