dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,672
Mkuu umesomeka lakini sio kila kitu lazima ufanye wewe.Nyingi biscuit haswa!!! wauzaji mfuko mmoja wa cement tofali 55-60
kwa wastani wa tofali 43-45 kwa mfuko mmoja; mfano sasa hv baadhi ya sehemu mfuko wa cement (twiga) ni sh elfu 15; ukinunua mifuko 25 ni sawa na (375,000) ;usafir approxomately waweza tumia sio chini ya elfu thelathini kama sio mbali sana kutoka duka la cement; gharama za kufyatua kwaida ni sh 5000 kila mfuko X 25 = 125,000; gharama za maji ya kufyatulia na kumwagia huwezi tumia zaidi ya elfu 50 ;gharama ya kukodi machine ni elfu 25 kwa mifuko 25; gari 1 kubwa za mchanga ( ni 160,000-260,000 inategemea na umbali); ukichukua gari moja ya mchanga kwa ajili ya mifuko 25 ya cement pamoja na gharama za maji na kufyatua =====sawa na 835,000 (maximum);735,000 (minimum); ambapo kwa wastani wa tofali 43 kila mfuko utapata jumla ya tofali 1075 ; ambapo ukinunua tofali sh 1000 >>>>=1075 x1000= 1,075,000 >>>> 1,075,000-835,000= utakuwa umesave 240,000/=
Aproximatelly ukifyatua mweneywe utakuwa unasave sh 240,000/= kwa kila tofali 1075: kwa mahesabu ya haraka haraka (maximum approximation)
Mbona unakuwa selfish kiasi hicho.. hapo mbona hujaweka risk ya kuibiwa na mafundi. Umeme wa hizo machine na ujue site nyingi zinakuwa hazija unganishwa na Tanesco. Mkuu jifunze kutawanya majukum