Wauzaji wa matofali badilikeni

Wauzaji wa matofali badilikeni

Nyingi biscuit haswa!!! wauzaji mfuko mmoja wa cement tofali 55-60

kwa wastani wa tofali 43-45 kwa mfuko mmoja; mfano sasa hv baadhi ya sehemu mfuko wa cement (twiga) ni sh elfu 15; ukinunua mifuko 25 ni sawa na (375,000) ;usafir approxomately waweza tumia sio chini ya elfu thelathini kama sio mbali sana kutoka duka la cement; gharama za kufyatua kwaida ni sh 5000 kila mfuko X 25 = 125,000; gharama za maji ya kufyatulia na kumwagia huwezi tumia zaidi ya elfu 50 ;gharama ya kukodi machine ni elfu 25 kwa mifuko 25; gari 1 kubwa za mchanga ( ni 160,000-260,000 inategemea na umbali); ukichukua gari moja ya mchanga kwa ajili ya mifuko 25 ya cement pamoja na gharama za maji na kufyatua =====sawa na 835,000 (maximum);735,000 (minimum); ambapo kwa wastani wa tofali 43 kila mfuko utapata jumla ya tofali 1075 ; ambapo ukinunua tofali sh 1000 >>>>=1075 x1000= 1,075,000 >>>> 1,075,000-835,000= utakuwa umesave 240,000/=


Aproximatelly ukifyatua mweneywe utakuwa unasave sh 240,000/= kwa kila tofali 1075: kwa mahesabu ya haraka haraka (maximum approximation)
Mkuu umesomeka lakini sio kila kitu lazima ufanye wewe.
Mbona unakuwa selfish kiasi hicho.. hapo mbona hujaweka risk ya kuibiwa na mafundi. Umeme wa hizo machine na ujue site nyingi zinakuwa hazija unganishwa na Tanesco. Mkuu jifunze kutawanya majukum
 
Nimepata jamaa kaniuzia faster fastet kwa 950/= hadi site! Na nyie acheni hizo!! Nilijua ningepata! Ngangania 1,200 usawa huu???
Mkuu unaweza kupata kwa hiyo bei lakini ukauziwa matofali yenye viwango hafifu.
 
Nunu cement na mchanga ufyatue mwenyewe. tatizo mnapenda kutafuniwa , kwanza utakuta tofali zenyewe ni biscut
Hapo sasa!!!!!!!!!!! Unadhai wauzaji nao wanapenda ujinga?
 
ndugu zangu naombeni kuuliza bei ya matofali (paving blocks)

1.je wanauza kwa tofali moja moja au kwa seti
2.ikiwa wanauza kwa moja moja ni kw sh ngapi na pia na kama ni kwa seti ni sh ngapi
3. Na seti moja inakaa matofali mangapi
4.Na mwisho naombeni tathmin kwa eneo la square metres 20 zinaweza kuingia paving blocks ngapi
Asanteni
 
ndugu zangu naombeni kuuliza bei ya matofali (paving blocks)

1.je wanauza kwa tofali moja moja au kwa seti
2.ikiwa wanauza kwa moja moja ni kw sh ngapi na pia na kama ni kwa seti ni sh ngapi
3. Na seti moja inakaa matofali mangapi
4.Na mwisho naombeni tathmin kwa eneo la square metres 20 zinaweza kuingia paving blocks ngapi
Asanteni
Mara ya mwisho niliuliza ilikuwa kitofali kimoja 300-400. Square meter moja 15,000
 
Siku hizi biashara ya kuuza matofali imeshamiri sana kutokana na watu wengi kununua mashine za kutumia umeme katika kuchanganya cement na mchanga. Tatizo ni kuwa wafanyabiashara ya matofali wote ni kama wanakariri bei ya soko ni 1,000 au 1,100 au 1,200. Sasa unakuta kila mmoja ana matofali kibao yamemdodea kutokana na usawa mgumu; hata wajenzi hawawatumi mafundi wanaenda kununua wenyewe kwa kubargain.

Mimi nilikuwa nataka kama tofali 3,000 hivi nikapitia wauza tofali kama 5 hivi wote wanakomaa kwa bei moja ya 1,100? Mimi nilikuwa nahitaji kwa 800 au 900 kwa kulipa 2.4m au 2.7mil. Sasa wewe unakomaa na bei yako alafu tofali zinakudodea, si ungechukua hiyo 2.7 kwa vile nanunua mengi ukazungushia hiyo hela hata kama faida ni kidogo kuliko kukomaa na ndizi bei 200 wakati zinaanza kuoza? Hata tofali zikikaa sana hupoteza uimara wake.

Wanajanvi nisaidieni hili limekaaje?
Duh unalalia sana mkuu,wenyewe walishapiga hesabu hapo ndo mana wakapanga hyo bei
 
Biashara ya tofali kipindi cement ilikuwa 12000 kwa ile ya plus....Standard mfuko mmoja ni tofali 35.
Weka gharama za:-
-Maji
-Umeme
-Mashine
-Wapigaji(wachanganyaji)
-Mchanga
-Upangaji tofali.
Unit cost kwa tofali huwa minimum 780 na maximum 820. Sasa akiuza kwa bei ya Chini ya 1000 ni rahisi sana Ku breakEven au Kupata hasara kidogo. Maana hapo hatujaweka contingency kama
-Wizi wa mafundi
-Tofali kuvunjika
-Mashine huwa inazingua sometimez so matengenezo.
-Maji kukatika au kuisha sehemu unayo chukua
N.K
 
Mkuu umesomeka lakini sio kila kitu lazima ufanye wewe.
Mbona unakuwa selfish kiasi hicho.. hapo mbona hujaweka risk ya kuibiwa na mafundi. Umeme wa hizo machine na ujue site nyingi zinakuwa hazija unganishwa na Tanesco. Mkuu jifunze kutawanya majukum

Sio uselfish ;nilikuwa najaribu kumpa elimu kama njia mbadala kwake make ameonekana analalamika kuhusu bei ya kununua; pia jua machine nyingne hazitumii umeme na zinafyatua tofali nzuri mkuu; kuhusu kuibiwa hayo ni mengineyo kama usimamizi utakuwa legevu.
 
Mkuu unaweza kupata kwa hiyo bei lakini ukauziwa matofali yenye viwango hafifu.
Hapana ni mazuri kabisa. Matofari mazuri nayafahamu! Muuzaji alisema hata angeuza 800 angepata faida. 150 ilikuwa ya usafiri kwasababu kuna umbali kama 1.5km
 
Back
Top Bottom