Wavaa nywele bandia wakiona picha hizi wanaumia sana

Nywele bandia ni kichaka cha mapepo na maruhani
 
ni wanawake wachache sana wanaweza kumudu kuvaa nyele za watu wengine lakini wigi nyingi ni plastic material na wala sio nywele halisi za binadamu! zilizo halisi zinauzwa bei mbaya na kwa bahati mbaya wengi wenye uwezo wa kuzinunua hawako tayari kuzitumia -over!
 
Binadamu hatufanani, as long as mwanamke apendeze kwa kujiremba vyema, haijalishi kavaa wigs, kavaa mini skirt n.k
 
Binafsi sipendi hayo mawigi,,na wanavyosuka sjui rasta,,,hata girl wangu nimemwambia sana kuacha kusuka rasta but hasikii
 
Wanaboa sana hawa wanawake unamkuta kaweka hayo manywele yake ana wiki hajaweka maji kichwani,kichwa kinanuka tii akikupita unatamani usikutane nae tena. Mnakera sana nyie basi tu!!
 
Mitumba ya magari nguo! mashine, ndege unazo panda ni vya marehemu!! wewe usitutishe! kafa ulaya matumizi africa !!! ndo dunia ilivo! haya ya kwako ni mambo ya wana vijiji!! waafrica mna nini cha kwenu? cha kulingishia DUNIA? Wee umefanya nini? hapa duniani?

km hutaki wavae tuachie sisi born town tunaojua kuyatumia, tutawapa sana, ni sisis tunataka wapendeze hivo!!! hiyo harufu ya kunuka tuachie sisi ndo tunataka, wewe kafukuzane na wala milenda huko kjijini! kalime nyanya!!

wadada pigeni kazi tu! m puuzeni huyu mkulima, msimjali,... ma born town tuko nyuma yenu!! na hawagusi mtu hapa!
 
Usabato wa kizamani huu unaleta hapa...... majini hayakai kwa nywele!! umedanganywa sana, likae hapo wakati kiti yuko kwingine? ulishindwa hata kuwaza tu? hii ni theorojia ya kibwetere, ambae hakusoma, na weye ni mfuasi wke pure! yesu wenu mbona ana wigi?
 
Je wewe ni binti?

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…