Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Wewe si mfuasi wa kibwtere? sijui gwajima!! sasa nakuuliza yule yesu wenu mnae muabudu kila, j'pili lile alo vaa siyo wig? asa kuna ubaya gani wafuasi wake wakavaa km yeye? Mimi kuwa binti itakusaidia nini??
Sidhani kama wanaume tunavutiwa na hizo kitu hebu fanya tafiti tena.Siku zote Wanawake hufanya kile ambacho Wanaume huvutiwa nacho!
Ila Rihanna anac komwe.... Mawigi yake huwa anaficha komwe....Mdada anavaa wigi akinyeshewa na mvua anakuwa kama kabeba kuku wa kisasa kichwani, mawigi mwengine yanatoa harufu kali hadi na mvuke.
Pia wigi linaendana na kichwa unakuta mtu ana Komwe anaenda kushonea kiwigi kama cha Rihanna hapo ukimwona kwa mbali utasema katuni za Kipanya.
Kuna miaka ya 1990 enzi za nyimbo za akina Kandabongo man kutamba, wakina dada walikuwa na urembo wa kivaa manywele kama kalikiti hiviu, wapakaa shedo nyekundu halafu wanajisiliba mapoda usoni.Kama nakuona vile na wewe umevaa nywele za marehemu usiyemjua au umevaa maplastiki kichwani..... Tunakereka ndiyo sababu ninyi mpo ndani ya jamii hii hii na kila mnalolifanya linaweza kuwa linatupendeza sisi wanaume ama linatukera. Lile linalotukera lazima tuseme bila kuwaonea aibu.
That's not the point darling.Uzuri tunanunua kwa pesa zetu wengine,.hatuombi changizo.
πππThat's not the point darling.