Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Much know" maana yake nini?Yaani wote ninaowafahamu wako hivyo. Sasa nawachunguza nisiowajua ili nigundue kitu
Mbaya zaidi akiwa muhaya 🏃🏃Mimi mbona sina tabia hizo.
Japo kweli baadhi wana kaujuaji cha kishamba.
CrapYaani wote ninaowafahamu wako hivyo. Sasa nawachunguza nisiowajua ili nigundue kitu
Umeiweka vizuri sana mkuu.Tatizo la wabongo wamezoea porojo wakikutana na Watu wanaowataka watoe facts mnawaita wajuaji.
Mbongo anaweza akakuambia uchawi upo.
Alafu ukambishia ili akupe facts Kwa vile Hana uwezo wa kujenga hoja atakuita Mjuaji.
Hiyo pia inawakumba Wanawake wengi weñye Akili za kuhoji àmbapo wakikutana na Wanaume wengi wa kibongo Wazee wa ndîo Mzee. Huwaita Wadada hao wajuaji
Ndio ujuaji huoTatizo la wabongo wamezoea porojo wakikutana na Watu wanaowataka watoe facts mnawaita wajuaji.
Mbongo anaweza akakuambia uchawi upo.
Alafu ukambishia ili akupe facts Kwa vile Hana uwezo wa kujenga hoja atakuita Mjuaji.
Hiyo pia inawakumba Wanawake wengi weñye Akili za kuhoji àmbapo wakikutana na Wanaume wengi wa kibongo Wazee wa ndîo Mzee. Huwaita Wadada hao wajuaji
Kama unatuonea wivu kachonge na wewe miwani ya mbao tulingane,binafsi sipendi ila Hali ndo inanilazimuWengi wao hujiona ni wasomi sana na wanaishi juu ya sheria
Hata Baitasar Engonga (yule jamaa wa Equatorial Guinea) naye anavaa miwani.😁Yaani wote ninaowafahamu wako hivyo. Sasa nawachunguza nisiowajua ili nigundue kitu
Umemlenga Ali kamwe,nape,january na tundu lissu au sivyo!Yaani wote ninaowafahamu wako hivyo. Sasa nawachunguza nisiowajua ili nigundue kitu
"Much know" maana yake nini?
Mi sijui pia."Much know" maana yake nini?
Ndio ujuaji huo
hahahaaaaaHata Baitasar Engonga naye anavaa miwani.😁