Wavaaji wa nguo: Hiki kidude huwa ni kinini?

Wavaaji wa nguo: Hiki kidude huwa ni kinini?

Kwisha habari yako..😅

Mkiambiwa msome mnakimbilia kwenye mihogo..
Haya sasa bado utakuja utuvalie na nguo zilizoandikwa shake before use..😂
Hahaaa kusoma kipaji bana
 
Yawezekana hiyo ni sensor inayolinda nguo dhidi ya wezi kwenye supermarkets. Ukinunua kihalali wanascan hicho kisensor hata ukipita mlangoni haipigi alarm. Ila kama umechukua isivyo halali ukitoka nayo tu alarm zinalia.
 
If you’ve been shopping recently, then you’ve undoubtedly noticed the cumbersome squarish tags that have been popping up on the inside of clothing everywhere. These tags are none-other than RFID tags, which many retailers such as American Apparel, are using for inventory tracking within their stores


Ni kwajili ya usalama wa maduka yao
 
Hahaaa kusoma kipaji bana
Na unakaribia kunishinda tabia ntakurudisha kwa kaka yako da vinci sindo alinikabidhi..!

Haiwezekani kitu kiandikwe usivae kabla ya kukitoa we ndo kwanza unafua na kuvaa!..
Which is which.. is this a wife material or killing material..?😅😂
 
Ni zaidi ya mwaka hyo nguo moja, haijaniletea mapele.
Ila isijekua ndo lile tatizo la kusahau🤔

Hofu ni kwamba ndani kuna kitu chenye kuweza kutoa rangi ikachafua au kutia madoa nguo wakati unaifua au hata ikagusa ngozi yako lakini vinakua imara unaweza kutumia isilete madhara ya moja kwa moja, vinginevyo watu wasingeruhusu hata kusijaribishia zikiwa na hicho kidude, hako ka kitambaa kenye maandishi ndio kanaficha kakipande wanakokatumia kwa sensor. Madhara sio kakitambaa kalikoandikwa remove before wearing or washing. Relax
 
Na unakaribia kunishinda tabia ntakurudisha kwa kaka yako da vinci sindo alinikabidhi..!

Haiwezekani kitu kiandikwe usivae kabla ya kukitoa we ndo kwanza unafua na kuvaa!..
Which is which.. is this a wife material or killing material..?😅😂
Sasa kama sijui kiinglish sio kosa langu jaman.
We kama unanipenda nipeleke kwa Ras Simba sio kunirudisha home.
Killing material😂😂 amna bana
 
Sasa kama sijui kiinglish sio kosa langu jaman.
We kama unanipenda nipeleke kwa Ras Simba sio kunirudisha home.
Killing material😂😂 amna bana
Nikitoka hapo kwa ras simba utaniambia nikupeleke na hotel management maana si kwa bokoboko lile la juzi.. heri lawama kuliko fedhea..😂😂

Usije ukalia nakutania tu mu beibi..😜
Sikuachi ng'o ila punguza bokoboko..😂
 
Shopping tag , huwa kinatumika kuzuia wizi kwenye maduka , iliyofungiwa ndani ni chip amabyo huwa deactivated unapolipia kwenye counter , ukiiba halafu unataka kutoka nayo itasound alarm mpango wa kutokea na utakamatwa ,
 
Inapatikana wapi hyo kitu niende saivi
A we mwanamke unataka kuni Nini..?

Hizo nguvu za kisukuma mama hazikutoshi bado unataka kuongeza si unataka niandikiwe RIP..😂
 
Hofu ni kwamba ndani kuna kitu chenye kuweza kutoa rangi ikachafua au kutia madoa nguo wakati unaifua au hata ikagusa ngozi yako lakini vinakua imara unaweza kutumia isilete madhara ya moja kwa moja, vinginevyo watu wasingeruhusu hata kusijaribishia zikiwa na hicho kidude, hako ka kitambaa kenye maandishi ndio kanaficha kakipande wanakokatumia kwa sensor. Madhara sio kakitambaa kalikoandikwa remove before wearing or washing. Relax
Thank you, kweli ingekua na madhara direct kwa ngozi ya binadamu wasingeweka hapo.
Nitajaribu kukitoa nione kwa ndani ikoje.
 
Yawezekana hiyo ni sensor inayolinda nguo dhidi ya wezi kwenye supermarkets. Ukinunua kihalali wanascan hicho kisensor hata ukipita mlangoni haipigi alarm. Ila kama umechukua isivyo halali ukitoka nayo tu alarm zinalia.
Uko sahihi kabisa
 
Sina uhakika sana, ila nafikiri vinasaidia kwenye maduka ukiiba au kutoka na nguo bila idhini. Kinawezakuwa na vitu vinavyosaifia sensor zao.
Ukilipia counter kikishamulikwa hakitapiga kelele mlangoni unapotoka....(natania).

Ikumbukwe wenzetu mambo wanapeleka kidijitali zaidi na hiyo inawezatumika kama zile barcode kuscan kujua bei na kurahisisha kufanya stock kwa kuscan hicho kidude.

Wataalam watakuja kurekebisha na kutoa elim zaidi.
Sahihi, ni kweli wala sio utani huwa vina trigger alarms in case mtu Ameiiba hiyo nguo na akajaribu kutoka nayo mlangoni
 
Nikitoka hapo kwa ras simba utaniambia nikupeleke na hotel management maana si kwa bokoboko lile la juzi.. heri lawama kuliko fedhea..😂😂

Usije ukalia nakutania tu mu beibi..😜
Sikuachi ng'o ila punguza bokoboko..😂
Pls ingia ndani tuyamalize. Tusiwape faida majirani🙃
 
sahihi, ni kweli wala sio utani huwa vina trigger alarms in case mtu Ameiiba hiyo nguo na akajaribu kutoka nayo mlangoni
Nimewah kuona video zile za vichekesho, mtu alificha nguo mlangoni alarm ikalia. Aibuuu
 
A we mwanamke unataka kuni Nini..?

Hizo nguvu za kisukuma mama hazikutoshi bado unataka kuongeza si unataka niandikiwe RIP..😂
No huwezi😀 nitajitahidi kubalance usiof. NikikuRIP mie si ntabaki mpweke. Akuu siwezi kukufanyia hvyo
 
Pls ingia ndani tuyamalize. Tusiwape faida majirani🙃
Sawa lkn hapo kwenye alkasusu mama ndoho gete.. Hilo buno la kisukuma huwa natamani hata kulia sasa uongeze na kasusu si itabidi tuweke chaga zachuma sasa.. nihurumie mama wa watu na Mimi ni binadamu na yale sio mashindano..😂😂
 
Sawa lkn hapo kwenye alkasusu mama ndoho gete.. Hilo buno la kisukuma huwa natamani hata kulia sasa uongeze na kasusu si itabidi tuweke chaga zachuma sasa.. nihurumie mama wa watu na Mimi ni binadamu na yale sio mashindano..😂😂
🤣🤣🤣 Utakoma
 
Back
Top Bottom