Hata Adam alilaghaiwa hivi na eva.. inatosha usiendelee ntajua cha kufanya maana dawa ya Moto ni Moto..😅No huwezi😀 nitajitahidi kubalance usiof. NikikuRIP mie si ntabaki mpweke. Akuu siwezi kukufanyia hvyo
Sawa basi inatoshaHata Adam alilaghaiwa hivi na eva.. inatosha usiendelee ntajua cha kufanya maana dawa ya Moto ni Moto..😅
Shemeji yangu da vinci na alione hili..😅🤣🤣🤣 Utakoma
Nooo usimuonyeshe pls.Shemeji yangu da vinci na alione hili..😅
Sawa ntakufichia..Nooo usimuonyeshe pls.
Thank you, kweli ingekua na madhara direct kwa ngozi ya binadamu wasingeweka hapo.
Nitajaribu kukitoa nione kwa ndani ikoje.
Ni kama kilankinachowekwa kwenye vitabu vya maktaba, ukupita nacho bila utaratibu waoumbuka kwa kelele za alarm.Hiyo inaitwa RFID chip-Redio Frequency Identification chip,ni kwaajili ya taarifa za hiyo nguo wakati wa malipo ikiwa dukani na hata usalama wake kwani ukitaka kuiba bila ya kulipia kuna sensors zinatoa taarifa au alarm...
Umesahau ulikabidhi mwenyewe we sindo Kaka yake..Toka lini jamani..nilikua sijui
Ndo umepata Sasa wa hiyana..😂Sina ndugu humu..
Eeh tikisa kabla ya kutumia tobaaa🤪🤣🙉🙉Kwisha habari yako..😅
Mkiambiwa msome mnakimbilia kwenye mihogo..
Haya sasa bado utakuja utuvalie na nguo zilizoandikwa shake before use..😂
remove before washing or wearing: RFID tags and youI did a very quick search on Google and found that this is an anti-theft sensor that is sewn into the garment made to set off alarms when you walk through them (Askville by Amazon)