Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

Dah!! Kiukweli sijui nisemeje mimi napenda kuvuta kwa kujificha nikiwa mwenyewe ,hamuwezi kuamini hata rafiki zangu wa karibu na ndugu mpaka leo hawajui kama navuta na naonekana ni mtu wa heshima sana sana hiyo tisa kumi nilikuja kugundua kumbe familia yote tunavuta ila kwa kujificha mnoo mzee siku moja akanichana live kaniletee sports kumbe anapiga ila nimejua hayo nna miaka 25 kipindi hiyo broh nae wale wale kwa kujificha dogo nae wale wale ila style ni ile ile na mimi hata makundi ya wavutaji huwezi kunikuta kabisaa ni one man alone kwenye huu upumbavu
Mimi huyo, ila sivuti zaidi ya 3 kwa siku, huwa nikitoka kazini kuna ka restaurant jirani huwa tuna enda kulipia chakula cha mchana, sasa tukiingia hapo haiishii kulipa Bill ya msosi tu, bali tunaendeleza na bia 2-3,hapo ndipo nilipoanzia, sasa hivi huwa naingia job na sm 2,navuta moja wakati nikiwasubiri staff waingie niwape muhtasari wa shughul za siku hiyo, baada ya lunch huwa nalazimika kuwahi workshop nipokee majumuisho ya kazi za nusu ya siku hapo navuta iliyo baki, jioni kwenye bia navuta moja, ila nipo ukingoni kuachana na ujinga huu, inshaallah, nitaweza kwa uwezo wa Mungu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
hamuwezi kuamini hata rafiki zangu wa karibu na ndugu mpaka leo hawajui kama navuta 😂😂 nikiwa maeneo ya karibu na home napenda kuvuta kwa kujificha ila nikiwa mitaa ya mbali au nje ya mkoa naweza kuvuta wazi.

Binafsi nimevuta sigara za aina nyingi kuanzia embassy, club, spoti, nyota, winston, master, sm na hata za nje kama malboro lakini nimesalia kwenye spoti na winston.

Sipendi sigara zenye harufu kali kama sm na nyota.

Napendelea kuvuta nikiwa nimesimama, sijui kwanini nikikaa hainipi burudani.
Tafuta business Royal Kisha ulete mrejesho.
 
Back
Top Bottom