Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

[emoji1][emoji1]Kuna kitu inaitwa skanka hiyo ndio inakufaa ww hyo ni ya watu matajiri na watulivu.
Unga ulio changanywa na bangi! Bangi hua haichanganywi na kitu ukitaka usalama
 
Mwenye dawa ya kuacha sigara anisaidie kuna laki hapa nmejaribu nmeshindwa msaada wakorongwa
Hakuna dawa ni maamuzi yako tu kichwani mwako ila kitacho kukuta kwanza utakua unapata usingizi mzito sana na ukiwa macho utakua unajisikia kuchoka mara kwa mara na utajikuta unahitaji kunywa maji mara kwa mara kwa mwendo wa week moja utakua fresh then utakaa sawa ila utakua unakerekwa sana na harufu ya sigara!
 
Unaujua unga vzuri na unajua bangi ilochanganywa na unga inakua vip?!
Unaijua arosto ya mtu alozoea kuvuta bangi ilochanganywa na unga?!

Moshi wa bangi ambayo haikuchanganywa na unga na moshi wa bangi ilochanganywa na unga unakua vip?

I have a lot of friends wanafanya mchezo huu na ni watoto wa ma boss wa serikali
 
Nimeacha SIGARA mwaka wa Tano Sasa ila SIGARA yangu pendwa ilikuwa BENSON AND HEGES FILTER NYEUPE YOTE NILIKUWA NIKIKOSA IYO NAPGA PORTSMAN ILA SAIVI NIMEACHA ATA MTU AKIVUTA PEMBENI YANGU INANIUMIZA CHEST
 
Kuna mwanangu yeye akipiga tungi afu skavuta sigara anasizi hapohapo kama teja vile.

Yani ye sigara inamlevya vipi sijui
 
Unaujua unga vzuri na unajua bangi ilochanganywa na unga inakua vip?!
Unaijua arosto ya mtu alozoea kuvuta bangi ilochanganywa na unga?!

Moshi wa bangi ambayo haikuchanganywa na unga na moshi wa bangi ilochanganywa na unga unakua vip?

I have a lot of friends wanafanya mchezo huu na ni watoto wa ma boss wa serikali
Nilikuambia nipe utofauti sio kuniuliza maswali
 
Mimi nikishapiga kitu Cha mpepe nashushia na embassy aseee hiyo vibe kazi zinakwenda kimkakati kabisa.
 
Back
Top Bottom