See For Me
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 479
- 1,495
Gari yangu imezimia hapa mkuu..na sihitaji msaada wa kiumbe yeyote[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari yangu imezimia hapa mkuu..na sihitaji msaada wa kiumbe yeyote[emoji23]
Siku ya kwanza kuiona hiyo avatar nilishangaa tumefikia hatua ya kuweka mikuyenge hadharani kumbe ni gunia aisee😂Huyu jamaa hapa chini mwenye avatar ya gunia la mkaa afute, limekaa kama uboow
Kitaalam sijui inaitwaje hii kitu ni balaa..Kuna uhusiano gani mtu akila chakula akishiba anataka kuvuta ?
Unga ulio changanywa na bangi! Bangi hua haichanganywi na kitu ukitaka usalama[emoji1][emoji1]Kuna kitu inaitwa skanka hiyo ndio inakufaa ww hyo ni ya watu matajiri na watulivu.
Hakuna dawa ni maamuzi yako tu kichwani mwako ila kitacho kukuta kwanza utakua unapata usingizi mzito sana na ukiwa macho utakua unajisikia kuchoka mara kwa mara na utajikuta unahitaji kunywa maji mara kwa mara kwa mwendo wa week moja utakua fresh then utakaa sawa ila utakua unakerekwa sana na harufu ya sigara!Mwenye dawa ya kuacha sigara anisaidie kuna laki hapa nmejaribu nmeshindwa msaada wakorongwa
Kuna sehem yyte nmesema skanka hua inachanganywa na unga.Unga ulio changanywa na bangi! Bangi hua haichanganywi na kitu ukitaka usalama
Nitofautishie bangi ya kawaida na hiyo unayoiita skankaKuna sehem yyte nmesema skanka hua inachanganywa na unga.
Labd ndo mchezo wako
Alafu nikishakutofautishia?Nitofautishie bangi ya kawaida na hiyo unayoiita skanka
Nitakueleza kituAlafu nikishakutofautishia?
Unaujua unga vzuri na unajua bangi ilochanganywa na unga inakua vip?!Nitakueleza kitu
Ndo fantasy yako?napenda sana sigara kali napenda sana kuvuta sigara ukweni mbele ya baba mkwe
[emoji1][emoji1][emoji1]Aisee aifute jamani hata mimi nimeionaHuyu jamaa hapa chini mwenye avatar ya gunia la mkaa afute, limekaa kama uboow
Nilikuambia nipe utofauti sio kuniuliza maswaliUnaujua unga vzuri na unajua bangi ilochanganywa na unga inakua vip?!
Unaijua arosto ya mtu alozoea kuvuta bangi ilochanganywa na unga?!
Moshi wa bangi ambayo haikuchanganywa na unga na moshi wa bangi ilochanganywa na unga unakua vip?
I have a lot of friends wanafanya mchezo huu na ni watoto wa ma boss wa serikali
Hii ndo yenyewe achana na masigara hayana mzuka