Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi ni nzuri nakushauri usiacheNmejitahid kuacha bange nashindwa nishaurin jmn nifanye nn
Bangi haina madhara mkuu, huna haja ya kuhangaika kuiachaNmejitahid kuacha bange nashindwa nishaurin jmn nifanye nn
Nmejitahid kuacha bange nashindwa nishaurin jmn nifanye nn
Bangi ni hatari bhana!Bangi haina madhara mkuu, huna haja ya kuhangaika kuiacha
We jamaa sasa ulijuaje ata comment chini yako?🤣🤣🤣🤣Huyu jamaa hapa chini mwenye avatar ya gunia la mkaa afute, limekaa kama uboow
Hii ndio yenyewe, tuwashauri waache masigara
Sababu ilikuwa ni umasikini, kijana kupata buku ni kazi kwelikweliZamani sigara zilikuwa zinavutwa na wazee wa kishua tu sahv hadi madogo wanavuta. SM ni sigara pendwa hasa ukiwa umelewa aisee ukipuliza unatoa moshi kama exost ya pikipik full burudani jamen
Ni kweli aisee🤣🤣🤣Huyu jamaa hapa chini mwenye avatar ya gunia la mkaa afute, limekaa kama uboow
Unataka kuanza kuvuta sigara? Why?Nataka nianze pia,embu nielekezeni mlianzajeanzaje au kama tu nilivyoanza kubanduliwa K?
Nimeandika tu we,pombe nilianza nikashindwa ndo nitaweza sigaraUnataka kuanza kuvuta sigara? Why?
Njoo nikupe ganja akili ikukae sawaNimeandika tu we,pombe nilianza nikashindwa ndo nitaweza sigara
I see,mi nikicharuka sitamaniki...sasa nikiongezea hiyo kitu si ndo nitawehuka kabisaYou won't regret, trust me!
Ha haaa basi usivute tusije tukakupoteza bureI see,mi nikicharuka sitamaniki...sasa nikiongezea hiyo kitu si ndo nitawehuka kabisa