Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

Ha haaa basi usivute tusije tukakupoteza bure
Hakika,nikikasirika panachafuka cute...napambana nitoke kwenye hali hii balaa.Nikiwa normal unaweza omba niwe rafiki yako tena kwa dau kubwa kumbe ndani kipande cha mti 😎
 
Hakika,nikikasirika panachafuka cute...napambana nitoke kwenye hali hii balaa.Nikiwa normal unaweza omba niwe rafiki yako tena kwa dau kubwa kumbe ndani kipande cha mti 😎
Inaweza ikakubadilisha ukawa mpole. Ukitumia hii kitu hata uwezo wako wa kufikiri unabadilika halafu unakuwa mtu peace
 
La ziada ni hili mkuu 👇
hamuwezi kuamini hata rafiki zangu wa karibu na ndugu mpaka leo hawajui kama navuta 😂😂 nikiwa maeneo ya karibu na home napenda kuvuta kwa kujificha ila nikiwa mitaa ya mbali au nje ya mkoa naweza kuvuta wazi.

Binafsi nimevuta sigara za aina nyingi kuanzia embassy, club, spoti, nyota, winston, master, sm na hata za nje kama malboro lakini nimesalia kwenye spoti na winston.

Sipendi sigara zenye harufu kali kama sm na nyota.

Napendelea kuvuta nikiwa nimesimama, sijui kwanini nikikaa hainipi burudani.
smoker.jpg
 
hamuwezi kuamini hata rafiki zangu wa karibu na ndugu mpaka leo hawajui kama navuta 😂😂 nikiwa maeneo ya karibu na home napenda kuvuta kwa kujificha ila nikiwa mitaa ya mbali au nje ya mkoa naweza kuvuta wazi.

Binafsi nimevuta sigara za aina nyingi kuanzia embassy, club, spoti, nyota, winston, master, sm na hata za nje kama malboro lakini nimesalia kwenye spoti na winston.

Sipendi sigara zenye harufu kali kama sm na nyota.

Napendelea kuvuta nikiwa nimesimama, sijui kwanini nikikaa hainipi burudani.
Anzisha uzi wa WAVUTA NDUMU,WAVUTA GANJA,WALA GUGU,WALA KUKU au WALA JANI.Puff...puff and pass!
 
Nmejitahid kuacha bange nashindwa nishaurin jmn nifanye nn
Bangi hua haiachwi unachoweza kufanya ni kupumzika kwa mda hata mwaka au miezi utairudia tu[emoji2962] njia nzuri ni kubadili mazingira ukakae mahala ambapo upatikanaji wake utakua wa shida pia usizoeane sana na watu wanao vuta kwenye eneo hilo jipya
 
Aisee me napenda kuvuta ila kwa Siri. Napenda kuvuta baada ya kula au nikiwa toilet nakata Gogo. Dunia huwa kiganjani mwangu!
 
Nadhani uvutaji sigara unaenda ukipungua kwa kasi. Zamani ilikua karibu kila nyumba mpaka hata baadhi ya ofisi unakuta ash tray na watu walikua wanavuta hadharani. Siku hizi sigara zinavutwa usiku tu tena na watu wachache sana.
 
Alooo Mi mara ya kwanza kuvutaa mashine ilisimama
 
Ha ha haa,hayo ndo mambo sasa
Kitu Cha Arusha kinaliwa na watu wenye ela, Kwa sabb kile hakisokotwi na gazeti kinasokotwa na Rizla ya kununua dukani.

Watu wasonapesa wanasokota mabushabu ukiyakurupukia unaweza umwa kichwa hadi ujute
IMG_20221024_142230_846.jpg
 
Mwenye dawa ya kuacha sigara anisaidie kuna laki hapa nmejaribu nmeshindwa msaada wakorongwa
 
Achane hayo makitu kuna maisha nimeyapitia kusema ukweli sijawahi kuwa proud na hayo maisha kabisa Pombe, Sigara, Bangi, Uzinzi, Mirungi, nakila aina ya takataka namshukuru Mungu nina mda mrefu sana nishayasahau na ninajivunia kuwa mtu huyu wa sasa.
 
Back
Top Bottom