Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

Kokote Duniani utafiti umekuja na majibu yale yale kwamba watu wanaovuta sigara wana akili ndogo sana kulinganisha na wasiovuta.

Wavuta sigara ni kama mabata, bata akijisikia kunya hata kwenye sufuria ya ugali anakuja, hajali kitu. Mvuta sigara hivyo hivyo, akishikwa na kiu mahala popote anawasha sigara bila kujali kuna watoto ama watu wengine.

Nakazia ✍️✍️
Huwa nashangaa watu wanajitumbukiza vipi kwenye huu msala..
Bora pombe, maana wataalamu husema pombe KiASI ina manufaa kiafya mwilini.
Sigara haina faida hata moja. Ni madhara tupu🙄🤔
 
Binafsi nimevuta sigara za aina nyingi kuanzia embassy, club, spoti, nyota, winston, master, sm na hata za nje kama malboro lakini nimeasalia kwenye spoti na winston.

Sipendi sigara zenye harufu kali kama sm na nyota.

Mazingira nayopendelea kuvuta ni yale ambayo hayana watu wengi na kuna kivuli ama kaubaridi.

Napendelea kuvuta nikiwa nimesimama, sijui kwanini nikikaa hainipi burudani.

Nimejaribu kuacha kwa miezi kadhaa katika vipindi vinne tofauti lakini nilirudi.
Mimi kwenye Marlboro na Carmel unitoi
 
Binafsi nimevuta sigara za aina nyingi kuanzia embassy, club, spoti, nyota, winston, master, sm na hata za nje kama malboro lakini nimeasalia kwenye spoti na winston.

Sipendi sigara zenye harufu kali kama sm na nyota.

Mazingira nayopendelea kuvuta ni yale ambayo hayana watu wengi na kuna kivuli ama kaubaridi.

Napendelea kuvuta nikiwa nimesimama, sijui kwanini nikikaa hainipi burudani.

Nimejaribu kuacha kwa miezi kadhaa katika vipindi vinne tofauti lakini nilirudi.
sigara ina arosto mbaya sana
 
Zama zangu kipindi naonja sigara nilikuwa napenda sana kuvuta kabla ya Kupiga shoo , ilikuwa inanipa sana mzuka. Na pia katikati ya shoo baada ya Goli la kwanza
 
Dah!! Kiukweli sijui nisemeje mimi napenda kuvuta kwa kujificha nikiwa mwenyewe ,hamuwezi kuamini hata rafiki zangu wa karibu na ndugu mpaka leo hawajui kama navuta na naonekana ni mtu wa heshima sana sana hiyo tisa kumi nilikuja kugundua kumbe familia yote tunavuta ila kwa kujificha mnoo mzee siku moja akanichana live kaniletee sports kumbe anapiga ila nimejua hayo nna miaka 25 kipindi hiyo broh nae wale wale kwa kujificha dogo nae wale wale ila style ni ile ile na mimi hata makundi ya wavutaji huwezi kunikuta kabisaa ni one man alone kwenye huu upumbavu
 
Ngoja nianzishe uzi wa wapiga nyeto naona JF siku hizi uhuru umezidi
 
Wavuta sigara ni wachafu sana wengi wao wameoza meno,wanatoa harufu mbaya mdomoni ukipishana nao nguo zao zinanuka Moshi wa fegi. Wsnskubali mtoto asinywe juice lakini wao wavute na wana mapungufu ya akili kwasababu ya tabia yao ya kula moshi na kutolea puani. Wananikera in Sana wanapovuta Moshi halafu wakautolea puani.
 
Usikata tamaa mkuu,ipo siku utaacha hutaamini! Nlikuwa mtumiaji mzuri sana wa sigara ..yaani kwa siku nlikuwa nikitumia pakt 1 ya embassy. Ila siku moja nikakata sharing nikwann napata tabu haswa napokuwa ktk mikusanyiko ya watu .nikaa nikarafakari nikajiwekea dhamira yakujaribu kuacha kwa miezi 6, baada yakupita hiko kipindi nlipokuja kujaribu tena mara kadhaa ilishindikana yani kifua kikawa kinanibana sana .huo ndio uliokuwa mwisho wa kuvuta sigara huu nimwaka wa
Amina
 
Back
Top Bottom