wailer hov
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 286
- 409
TrueeeDont diss it before you taste it
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TrueeeDont diss it before you taste it
Dont criticize..legalise and i ll advertiseLegalise it...Peter Tosh
[emoji23][emoji23] Nilikuwa nikilivuta nakua kama mepigwa ganzi, mpaka nikalale kama nusu saa ndo nikae fresh nikaona starehe gani hizi!.. Tutakuja uana tu!
HahahhaaPombe acha tu nayo🙂
Nateseka tu, mwili unachoka ghafla!..Duh usipolala inakuwaje
Nateseka tu, mwili unachoka ghafla!..
[emoji23][emoji23] ntakuachisha tu.Hahahhaa
Naanzaje kuiacha ndio starehe yangu
[emoji23][emoji23] ntakuachisha tu.
ebhana ee nitajaribu hii kwa maziwaHivi wazee mnajua ile THC iliyo ndani ya mmea ni fat-soluble? Kwo ukichemsha mmea ndani ya kitu kama maziwa ile THC inajaa huko afu unakunywa hiyo chai...
Babaa, utakuwa high siku 3 na kuendelea..
Hii ni kwa ambao hatuvuti anymore ila bado tunapenda ile ecstacy ya marijuana.
Legalize it!
Usinywe nyingi sana mzee.. ni balaaebhana ee nitajaribu hii kwa maziwa
Nakuekea maziwa utaacha tu😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo niache tu hiyo ndio starehe yangu
live sema jf huwez kuedit post mkuu,mzee yani siku ya kwanz kula hii kitu ilikua pindi nipo form3,kuna masela wangu walikua wanachepuka breaktime wanaenda kupata kitu,siku kushtuka nami nikasema naenda nanyie leo,nikaomba nitest......balaaa niliporudi class kuna manzi nilikua namzia asa nina maibu kinoma,basi kuingia class tu nikamfata dadeki nikaanza kumchana palepale mbele ya wenzie hahahahah dah hii kitu inakupa confidence sio kawaida.inshort manzi mwenyewe hakuamini,watu walikua wanashangilia tu na vicheko.dadeki demu alinikubali sikuamini.kwanzia hapo nikawa na misimamo sio kitotoSasa mleta Uzi ungeanza na kutoa stori/kisa chako juu ya 'herbs' au 'dawa' ama 'cha Arusha'...ganja..kijiti..au Bob Marley[emoji108]
tiririka wana wapandishe mzuka wa story...nje ya hapa unakata 'stimu' machalii
halafu bei ya 'Bangili' inapanda daily kwa pusha...siku hizi inalipiwa kodi.!?
Umenikumbusha matawi ya juu.. RIP Langa kileoNdani ya msitu mnene,nachambua nanyonga kisha navuta
Ganja nanyonga mwenyewe simuamini pusha,asije nipa famba akaniambia cha arusha
Ganja navuta,pamba nanyuka,kwanja naruka,sio mpk niombe kwanza ruksa
Tutembezeani kijiti wakuu
Nakuekea maziwa utaacha tu😀
oi oi moto mwananguNdani ya msitu mnene,nachambua nanyonga kisha navuta
Ganja nanyonga mwenyewe simuamini pusha,asije nipa famba akaniambia cha arusha
Ganja navuta,pamba nanyuka,kwanja naruka,sio mpk niombe kwanza ruksa
Tutembezeani kijiti wakuu