Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Joah makini ndiyo nani?wewe ndo hujui muziki unaposema joah makini hana producer hebu thibitisha hapa
babulai waambie ndio maana kava imechorwa mwamba alafu anaesukuma ni mpuuz yaan awez kitu alafu unajua anasemaje MWAMBA NI MWAMBA TU utakunya bure kumdiss joh mwenzako ajanogesha nyimbo na saida karoli ametunga mwanzo mwisho mpeni namba yuko geto amejikoki ana dawa zenuBrand kama Blue magic ile song ya 2012 anakwambia *Kusalimika ni Ngumu kama hamtoacha zinaa Ku Maintain ni kaz kama huna stamina skills na uvumilivu na kuishi na Viatu mana wote sio watu*
Ni bora ile nyimbo yake popote chochote,kuliko hii hili ni jimbo bovu taslimuuAcha uchawi were nyimbo mbona nzuri tu na itafanya vizuri, John making amejaribu radha nyingine music tofauti na tulivyomzoea
Ni kitu kizuri
ujui nn maana ya swag mbona bele 9 kwenye wimbo wake mpya anasema *....nilivyo rudi kwenye meza nikakuta emtoo*animus anamaanisha nini emtoo ni emty au ulijua kaongea kinyaturu [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuliza hasira mchezo huu unaitaj floo lain nguvu kidogo like joh amaa mtaelewa tu na atafanya shoo nyingi tu kisa hii nyimbo subiriniPatra haiko formal siku zote, kwa anayeongea Patra hiyo ",ama gonna" ni sentensi ya kawaida sana, kwa kifupi hayo makosa ya kisarufi yanayofanyika kwenye patra ndiyo swag yao; msikilize Rihhana, busy signal na wengine wote wanaoandika patra soma hizo lyrics utashangaa;
Maneno mengi ya kiswahili ambayo sio formal ameyatumia pia hujayanotice kwasababu its all about flavor.
Wakenya wao wana sheng naipenda pia kwakuwa nailewa.
Akiziorodhesha hapo nawewe fanya kuzicompare na hii waya utagundua ndio mbovu kuliko zoteJoah makini ndiyo nani?
Horodhesha hits song zake zote kama 30 hivi alafu mbele ya kila nyimbo andika jina la producer wa nyimbo husika utawajua maproducer wote wanafanya kazi na Joh Makini.
Mkuu wacha kulinganisha chochote popote na vitu vya kijinga!Ni bora ile nyimbo yake popote chochote,kuliko hii hili ni jimbo bovu taslimuu
Excuse miss am gonna holla at ya'.....huyu jamaa ana english ya mwendo kasi hatari.... "ekskyuuuuz mi ken ai get yua namba.... Ama gona lachya"
Sidhani kama unamfahamu Joh Makini Katika nyimbo 3 kali za JohMakini hakuna hata mmoja uliotengenezwa na NahreeelToka alivoacha kumtumia nahreal cjui kawaje
Toka alivoacha kumtumia nahreal cjui kawaje
Patra haiko formal siku zote, kwa anayeongea Patra hiyo ",ama gonna" ni sentensi ya kawaida sana, kwa kifupi hayo makosa ya kisarufi yanayofanyika kwenye patra ndiyo swag yao; msikilize Rihhana, busy signal na wengine wote wanaoandika patra soma hizo lyrics utashangaa;
Maneno mengi ya kiswahili ambayo sio formal ameyatumia pia hujayanotice kwasababu its all about flavor.
Wakenya wao wana sheng naipenda pia kwakuwa nailewa.