Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

Hivi mtu akisema

Wakristo..

Na akisema Mikristo utaelewa nini? .

Hakuna sehem qurain imekaririsha jambo hilo.

Wanapotajwa kwa ubaya ndy huitwa mayahudi.
Miyahudi.

Wakitajwa kwa wema huitwa ,
--wayahudi.
--Myahudi.

Mfano

--Mwizi.
--Majizi.
--Mijizi.

Yote ktk kutaja jambo kwa ubaya.
Katika kila lugha kuna maneno hayaendani na kanuni fulani na hufahamika kwa wema kwa namna yake hiyo.Ukijaribu kuyarudisha katika kanuni ya kawaida kwenye mtihani unapewa sifuri.Ukisoma lugha ya kiarabu utaelewa kwa ufasaha habari hizi.Kwenye Kiswahili ipo mifano mingi ya aina hiyo. Ukisema muhogo ni mzuri maana itakuwa ni sawa na mihogo ni mizuri. Ukisema walafi utaeleweka unakusudia mtu mroho lakini ukisema milafi itaeleweka ni waroho waliopitiliza,wanachukua kinachowatosha na na nyongeza wasioihitaji ,hata ikiharibika na kwamba wengine watakosa hawajali.
 
Huyo jamaa kamuua Kashoggi kikatili sana.

Kama ana dini, basi dini yake haifaiiii.

Dino ya kweli dunia hii ni UTU na UBINADAMU tu.
Yule jamaa itakuwa ana tenda maalumu ya kuupiga vita uislamu ndani ya ikulu.Utadhani amelishwa dawa na hajui akifanyacho.
 
Watawachezea hao hao WAARABU lakini waislamu wa kweli wa IRAN kamwe hawatayumbishwa na mwanadamu yeyote yule.

Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Iran haiwachukii wayahudi,,actually mataifa yote ya kiarabu yaliwafukuza wayahudi mara baada ya vita vya pili vya dunia,,iran haikufukuza wayahudi moaka leo kuna wayahudi wa iran,,
Mwaka fulani israel ilitoa offer ya dola 10,000 kwa kila myahudi wa iran atakaekubali kurudi israel,,waligoma.
Mpaka leo kuna hadi masinagogi ndani ya iran..
 
Mayahudi ni watu wa njama daima na kupokea tu,hakuna wanachotoa.Wanapenda watajwe vyema lakini wanatenda uovu.Wanataka uhusiano mzuri na ndugu wa wapalestina na wakati huo huo wanawakandamiza na kuwavunjia majumba yao bila haya.
Nadhani unapaswa angalau kuwapongeza watu wenye nia njema na Amani. Kuliko kulalamikia wanaojaribu kuutafuta Amani . Pengine ungependa jamii ya wayahudi na waarabu waendelee kubaki kwenye uhasama usio na mwisho tena usio na maana kwa kizazi cha sasa !!!.

Wayahudi , hata ukiwachukia wako hatua 1000000 mbele yetu , na chuki yako haiwezi kubadili chochote . Bora kufanya nao muafaka na kujifunza kitu kutoka kwao.
 
Huyo jamaa kamuua Kashoggi kikatili sana.

Kama ana dini, basi dini yake haifaiiii.

Dino ya kweli dunia hii ni UTU na UBINADAMU tu.
Utu na ubinaadamu ni sehemu ya dini kwa maana dini imekusanya vitu vingi na hayo yakiwemo.
 
Watu mnachanganya JEWS na ZIONISTS
Hawa ni watu wawili tofauti Sana.

JEWS hawana shida hata pale Ethiopia wapo ni jamii kama ukisema Somali, Zulu etc.
Tatizo lipo kwa Hawa ZIONIST Hawa ndo Wana run dunia, wazee wa 666,wauaji na Hawa ndo IRAN IPO against nawo.
Inawapinga kwa kila njia.

Na ukitaka kuwa ZIONIST sio lazima uwe JEWS kwani wapo wengi mazionist ambao sio JEWS.
 
Utu na ubinaadamu ni sehemu ya dini kwa maana dini imekusanya vitu vingi na hayo yakiwemo.
Watu wa dini ni katili sana wanaua sana watu kwa kisingizio cha dini.

Tena wanajihalalishia kabisa ukatili wao.
 
Huyo jamaa kamuua Kashoggi kikatili sana.

Kama ana dini, basi dini yake haifaiiii.

Dino ya kweli dunia hii ni UTU na UBINADAMU tu.
kwani hitler na stalin walikua dini gani? hamna haja ya kuunganisha dini na mambo ambayo watun wanayafanya kwa interests zao binafsi
 
Wewe msimamo wako Ni upi Hasa

Unawachukia?unawakubali?ama hujui lolote Kati ya hayo ?

Je Ni sahihi kuendeleza uadui ? Au je Ni sahihi kupatana na adui yako ili amani itawale?

Nataka kujua hayo?[emoji849][emoji3166]
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Ukiachana na mada yako. Kwanin unawaita mayahudi badala ya wayahudi?

Hiyo ni dharau unawaona binadamu wenzako kama mambwa yani!
Anawaita mayahudi sababu anawafananisha na mashetani

Ina tone fulani hivi ya chuki za kijinga .

Hawa ndio wanajifanyaga wafia dini kindakindaki ndio Hawa huwa wanajilipuaga na mabomu wakidhani watapata bikra 72 wenye macho Kama vikombe

Upuuzi mtupu
 
Hivi mtu akisema

Wakristo..

Na akisema Mikristo utaelewa nini? .

Hakuna sehem qurain imekaririsha jambo hilo.

Wanapotajwa kwa ubaya ndy huitwa mayahudi.
Miyahudi.

Wakitajwa kwa wema huitwa ,
--wayahudi.
--Myahudi.

Mfano

--Mwizi.
--Majizi.
--Mijizi.

Yote ktk kutaja jambo kwa ubaya.
Kuwa hiyo mwizi mwema anaitwa MWIZI

na mwizi mbaya anaitwa JIZI/Mjizi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wayahudi kuna kitu cha ziada wanacho ukilinganisha na Waarabu.. Haiwezekani tu nchi tudogo tunagwa kichapo deile na huku imezungukwa na manchi makubwa tajiri wa kupindukia lakini wasiojiweza kwa lolote(kujibu mapigo kijeshi kiintelejensia nk)... Na kwa trend hii waarabu wote watakuja Salim amri kwa Wayahudi labda watokee viongozi wabishi na werevu toka katika ardhi za kiarabu…
 
Anawaita mayahudi sababu anawafananisha na mashetani

Ina tone fulani hivi ya chuki za kijinga .

Hawa ndio wanajifanyaga wafia dini kindakindaki ndio Hawa huwa wanajilipuaga na mabomu wakidhani watapata bikra 72 wenye macho Kama vikombe

Upuuzi mtupu
Atakuja kujitetea kwa kuingizia stori za kwenye kiarabu ooh mayahudi inamaanisha hivi. Kwani sisi tunaongea Kiarabu humu?
kama unaandika Kiarabu tumia herufi za Kiarabu Astaghfirwallah
 
Kuwa hiyo mwizi mwema anaitwa MWIZI

na mwizi mbaya anaitwa JIZI/Mjizi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwizi anaweza hata akawa mdokozi wa nyama.

Lakini ukiitwa jizi, au mijizi inamaanisha umekubuhu sana.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Back
Top Bottom