Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

sorry ni 12:2
"And this (Quran) is a blessed book which we have revealed, confirming that which was (revealed) before it, so that you (O prophet) may warn the mother of the cities (Makkah) and those around her." (6:92)

"And thus we have revealed to you an Arabic Quran, so that you may warn the mother of the cities (Makkah) and those around her." (42:7)

Mohammed) You are only a Warner and for every nation there is a guide." (13:7)

And we have sent no messenger but with the language of his people, that he might make (the message) clear for them." (14:4)
 
sasa umeona ni kua mtume lugaha yake ni kiarabu na watu wanaozunguka ni waarabu ikishuka Quran ya kizungu hapo kazi inakua ngumu ya kufikisha meseji

turudi hapo 14:4 ni kua kila mtume alitumwa kwa lugha anayoilewa yeye na watu wanaokusudiwa ujumbe hivyo YEsu alikua akizungumza aramaic ndio lugha mama yake hivyo na Injili ikashuka kwa lugha hio. japo alielewa na hebrew but ilishuka kwa lugha nyepesi kwake
"And this (Quran) is a blessed book which we have revealed, confirming that which was (revealed) before it, so that you (O prophet) may warn the mother of the cities (Makkah) and those around her." (6:92)

"And thus we have revealed to you an Arabic Quran, so that you may warn the mother of the cities (Makkah) and those around her." (42:7)

Mohammed) You are only a Warner and for every nation there is a guide." (13:7)

And we have sent no messenger but with the language of his people, that he might make (the message) clear for them." (14:4)
 
sasa umeona ni kua mtume lugaha yake ni kiarabu na watu wanaozunguka ni waarabu ikishuka Quran ya kizungu hapo kazi inakua ngumu ya kufikisha meseji

turudi hapo 14:4 ni kua kila mtume alitumwa kwa lugha anayoilewa yeye na watu wanaokusudiwa ujumbe hivyo YEsu alikua akizungumza aramaic ndio lugha mama yake hivyo na Injili ikashuka kwa lugha hio. japo alielewa na hebrew but ilishuka kwa lugha nyepesi kwake
kwa hyo quran ilishushwa kwa kiarabu kwaajili ya waarabu wa mecca na vihunga vyake na kila taifa lia mtume wake hivo waarabu walipewa muhammad...Ndomaana tunasema uislam ni uarabu
 
Ukiachana na mada yako. Kwanin unawaita mayahudi badala ya wayahudi?

Hiyo ni dharau unawaona binadamu wenzako kama mambwa yani!

Mayahudi yalishalaaniwa,,,wewe unaeutambua ukristo, kwa taarifa yako miyahudi haitambui.
Wewe unaemkubali Yesu, kwa taarifa yako miyahudi inamkana.

The religious affiliation of the Israeli population as of 2019[5] was
74.2% Jewish,
17.8% Muslim,
2.0% Christian,
and 1.6% Druze.
The remaining 4.4%


Na bado mmatumbi anaendelea kumshabikia huyu mwendawazimu, angalia idadi ya Christians. Sio mnaleta ushabiki tu hapa.
 
kwa hyo quran ilishushwa kwa kiarabu kwaajili ya waarabu wa mecca na vihunga vyake na kila taifa lia mtume wake hivo waarabu walipewa muhammad...Ndomaana tunasema uislam ni uarabu
Sio hivyo bali Qur'an ilishushwa ili iwe ni rehma kwa walimwengu wote kwa vile Mtume Muhammad s.a.w alikuwa ni kwa ajili ya ulimwengu wote wakiwemo majini na wanyama.Lazima iwe hivyo kwani alitumwa na bwana na mtawala wa Ulimwengu mzima duniani na mbinguni.Qur'an inasema
وَمَا أَرْسَلْنَاكَ إِلا رَحْمَةً لِّلْعَالَمِينَ
“Na hatukukutuma (hatukukuleta) ila uwe rehema kwa walimwengu.” Surat Anbiyaai :107
 
Sio hivyo bali Qur'an ilishushwa ili iwe ni rehma kwa walimwengu wote kwa vile Mtume Muhammad s.a.w alikuwa ni kwa ajili ya ulimwengu wote wakiwemo majini na wanyama.Lazima iwe hivyo kwani alitumwa na bwana na mtawala wa Ulimwengu mzima duniani na mbinguni.Qur'an inasema
وَمَا أَرْسَلْنَاكَ إِلا رَحْمَةً لِّلْعَالَمِينَ
“Na hatukukutuma (hatukukuleta) ila uwe rehema kwa walimwengu.” Surat Anbiyaai :107
Sasa huoni hapo tayari mungu wenu wanajipinga...wanaposema kila taifa lina nabii wake na quran imekuja kiarabu kwaajili ya watu wa mecca na viunga vyale halafu hapohapo mungu wenu wanasema walimtuma muhamad awe rehema kwa walimwengu..(although hawajasema kwa walimwengu wote ..Huenda walimaanisha walimwengu wa mecca)
 
Sasa huoni hapo tayari mungu wenu wanajipinga...wanaposema kila taifa lina nabii wake na quran imekuja kiarabu kwaajili ya watu wa mecca na viunga vyale halafu hapohapo mungu wenu wanasema walimtuma muhamad awe rehema kwa walimwengu..(although hawajasema kwa walimwengu wote ..Huenda walimaanisha walimwengu wa mecca)
Ikitajwa walimwengu kwa kiarabu العالمين ina maana ya watu na viumbe wengine ,wanyama ,wadudu ,majini na hata miti na si hapa duniani tu bali hata nje ya dunia. Lakini ukitaka uone kwa watu wote pia utaipata kwenye Qur'an kwenye aya ya 28 sutat Sabai.
وَمَا أَرْسَلْنَاكَ إِلَّا كَافَّةً لِّلنَّاسِ بَشِيرًا وَنَذِيرًا وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَ النَّاسِ لَا يَعْلَمُونَ
Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.
Ikisemwa hivyo Makka na Madina ni padogo sana.Hata aya yenyewe imo kwenye sura iliyomtaja malkia Bilgis wa maeneo ya Yemen.Hii aya ukiwa ni binadamu hata ukihama ukaenda Mars itakuhusu pamoja na wale utakaokutana nao huko
Zile aya zilizotaja kila watu na Mtume wao ziikuwa zinazungumzia historia ya kabla ya kuteremka kwa Qur'an na kuja kwa Mtume Muhammada rehma na amani zimshukie.
 
Ikitajwa walimwengu kwa kiarabu العالمين ina maana ya watu na viumbe wengine ,wanyama ,wadudu ,majini na hata miti na si hapa duniani tu bali hata nje ya dunia. Lakini ukitaka uone kwa watu wote pia utaipata kwenye Qur'an kwenye aya ya 28 sutat Sabai.
وَمَا أَرْسَلْنَاكَ إِلَّا كَافَّةً لِّلنَّاسِ بَشِيرًا وَنَذِيرًا وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَ النَّاسِ لَا يَعْلَمُونَ
Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.
Ikisemwa hivyo Makka na Madina ni padogo sana.Hata aya yenyewe imo kwenye sura iliyomtaja malkia Bilgis wa maeneo ya Yemen.Hii aya ukiwa ni binadamu hata ukihama ukaenda Mars itakuhusu pamoja na wale utakaokutana nao huko
Zile aya zilizotaja kila watu na Mtume wao ziikuwa zinazungumzia historia ya kabla ya kuteremka kwa Qur'an na kuja kwa Mtume Muhammada rehma na amani zimshukie.
Wewe kina mungu wenu walisema Quran wameishusha kwa kiarabu kwa ajili ya watu wa mecca sasa mimi nani niwapinge?
Kwani shuleni mwalimu akitangaza watu wote waende darasani inamaana hadi walio Marekani,India mpaka mwezini Waje shule hiyo kuingia darasani?
 
Wewe kina mungu wenu walisema Quran wameishusha kwa kiarabu kwa ajili ya watu wa mecca sasa mimi nani niwapinge?
Kwani shuleni mwalimu akitangaza watu wote waende darasani inamaana hadi walio Marekani,India mpaka mwezini Waje shule hiyo kuingia darasani?
Maswali yako mepesi na majibu mazito unayopewa ukayakataa unatia huruma,
Iwapo wanafunzi walio Marekani na mwezini na hata Mars watamsikia huyo mwalimu na wao wakawa na uwezo wa kuingia darasani basi hakuna wa kuwazuia.Darasa likifurika wanafunzi mwalimu atatafuta namna ya kuwafundisha kwa pamoja kesho yake.Ikibidi atatumia teknolojia ya zoom Allah aliyoileta ili wanafunzi wasikose kusoma.
 
Watu mnachanganya JEWS na ZIONISTS
Hawa ni watu wawili tofauti Sana.

JEWS hawana shida hata pale Ethiopia wapo ni jamii kama ukisema Somali, Zulu etc.
Tatizo lipo kwa Hawa ZIONIST Hawa ndo Wana run dunia, wazee wa 666,wauaji na Hawa ndo IRAN IPO against nawo.
Inawapinga kwa kila njia.

Na ukitaka kuwa ZIONIST sio lazima uwe JEWS kwani wapo wengi mazionist ambao sio JEWS.
Umeanza ukanjanja!
 
Iran haiwachukii wayahudi,,actually mataifa yote ya kiarabu yaliwafukuza wayahudi mara baada ya vita vya pili vya dunia,,iran haikufukuza wayahudi moaka leo kuna wayahudi wa iran,,
Mwaka fulani israel ilitoa offer ya dola 10,000 kwa kila myahudi wa iran atakaekubali kurudi israel,,waligoma.
Mpaka leo kuna hadi masinagogi ndani ya iran..
Middle east yote ina wayahud chief. Tena wa asili. Kuna wanaokubali kurud na kuna wanaokataa. Hata iran kuna wanaorudig lakin kuna wanaokataa. Yemen ndio ilikuwa na wengi tu na wamerud wengi tu ila bado wapo mabaki. So usidanganyike wote walirud.
 
Back
Top Bottom