Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

hilo ni funzo kwa waumini siku wakikosea wafanyaje nimesha kuwekea hapo aya kabisa anasahau akipenda Mwenyezi Mungu kwaajili ya manufaa ya kidini wew umekomaa unabisha na sio hapo tu alisahau pia usiku wa Laila tul qadr hivyo kumi la mwisho ramadhani inabidi waumini tuutafute siku zote 10 ili hali Mungu alitaka iwe hivyo
Sasa kama alisahau point yako nini sasa...maana ishu hapa ni kusahau au kutosahau haijalishi sababu
 
na Mtume alikua ni Mtu tu kama ka wengine sema alichaguliwa na Mola kwa ajili ya misheni ya dini.. sema tofaut yake na watu wengine hakuwahi kua na upuuzi wala kupoteza muda miaka 23 ya utume wake alikua on point tu ndio maana kaacha dini imara ambayo ni changamoto kwa ulimwengu wa sasa hasa mataifa ya kimagharibi wanaotaka kuzuia but hawajui kitu imesukwa kwa sacrifice mpaka damu saivi wao ndio wanaunga tu juhudi wazungu kibao wameiona haki na kuifuata na kwa kila anae reason Basi Islam ndio dini pekee katka huu ulimwengu iliyo perfect..
Islam ipi iliyo perfect?Shia sunni ahmadiya au?
Na kwanini hiyo utakayoichagua toa sababu kwanini ni perfect
 
Hata kama ungekua wew Mungu kakuchagua uwe mtume ingeshuka tu kwa kiswahili kwakua wew unajua kiswahili fasaha. haiwezi kuja kwa lugha usio elewa
Hiyo ni sababu yako uliotunga kichwani au ni sababu ya Allah?
 
uislam ni Quran na sunna sasa kama kunawanaotafuta mambo menginne tofauti na hayo hao wanapoteza Muda
Islam ipi iliyo perfect?Shia sunni ahmadiya au?
Na kwanini hiyo utakayoichagua toa sababu kwanini ni perfect
 
Ndio maana Allah katupa Akili ukiangalia ata Injili ya nabii issa AS ilikuja kwa kiebrania ambacho Yeye mwenyewe alikua akielewa na kukizungumza
Hiyo ni sababu yako uliotunga kichwani au ni sababu ya Allah?
 
uislam ni Quran na sunna sasa kama kunawanaotafuta mambo menginne tofauti na hayo hao wanapoteza Muda
Sasa kama Quran zipo nyingi...kama sunna hizo Hadith na sira zimeandiwa miaka 300 mtume kashaoza kaburini...Kwahiyo lazima watu wabishane kuhusu Quran ipi? na Sunna ipi?Shia wana hadith zao sunni wana hadith zao

Sasa wewe inabidi useme wapi walio perfect na kwanini
 
duuh wee jamaa mbona ujiongezi mimi nimesema verse zimo alisomeshwa mtume kwa kiarabu mbona vyepesi tu nilitaka uelewe kwann quran imeshuka kwa kiarabu only that...
Kwahyo Kwenye Quran kuna kiebrania?
 
we have send Quran in arabic so u people may understand

Quran 2:12
 
duuh wee jamaa mbona ujiongezi mimi nimesema verse zimo alisomeshwa mtume kwa kiarabu mbona vyepesi tu nilitaka uelewe kwann quran imeshuka kwa kiarabu only that...
Sasa ukajuaje injili ilishuka kiebrania ndo swali langu
 
Wewe jina lako la Lailaha ila Issa kwa kiarabu kwa mtazamo wa uislamu ni ushirikina mkubwa sana.Na si vyema hata kujadiliana nawe.
Dah!..tafsiri yake kwa Kiswahili ni ipi?
 
Back
Top Bottom