Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

bahati mbaya wew hutaki kujifunza unaleta ligi na mimi vyote nipo ukitaka ligi au kujifunza
 
Sifa nyengine ya mayahudi ni kupenda kusifiwa na kujifakharisha hata kwa mafanikio madogo madogo.Twaweza kusema wala hawajui kula na kipofu.Mafanikio wanayotarajia kuyapata mwaka ujao wanaweza kuanza kuyatangaza leo ili kuwahi kusifiwa.Hivyo hata zawadi za Nobel zinazotelewa kwa mayahudi ni vyema zikaja kuchunguzwa tena hapo baadae kile kilichokuwemo kwenye nadharia hiyo na mkakati wa kutolewa.
Kaka nilikuomba mara kadhaa tuache majadiliano ya hewani. Ukijua wako watu (wayahudi au si wayahudi) waliopewa Tuzo ya Nobel bila kuistahili, TAJA MAJINA NA SABABU.
Menginevyo ninahisi wewe ni pia mtu aliyewahi kutibiwa angalau mara moja kwa dawa ya antibiotic. (Nahisi tu, lakini wako wachache ambao hawakupewa dawa ya aina hii maishani mwao).
Basi umshukuru Myahudi Ernst Boris Chain (Tuzo ya Tiba 1945) aliyegundua njia ya kutumia kuvu kama dawa na hivyo kuunda madawa ya antibiotic.
Ukiona ni fake, basi taja SABABU ila tuache majadiliano ya hewani.
 
Kaka nilikuomba mara kadhaa tuache majadiliano ya hewani. Ukijua wako watu (wayahudi au si wayahudi) waliopewa Tuzo ya Nobel bila kuistahili, TAJA MAJINA NA SABABU.
Wako wengi tu na ni tangu hizi zawadi zilipoanzishwa.Sijui ni kwa nini wewe umezipa hadhi kubwa zisizostahili na umeziamini kuliko unavyomuamini Mwenyezi Mungu. Zaidi unajaribu kumfanya kila mmoja aziamini kama wewe.
Wapo waliopokea na wakajiona wenyewe hawastahiki kuliko wenzao ingawaje wewe kila aliyetajwa unasema sawa tu. Na wapo waliopendekezwa kupewa zawadi hizi lakini kwa vile walikuwa na ugomvi na kamati ya Nobel wakatolewa na kupewa wengine ambao watu waliona hawastahiki.Nitakupa mifano michache sana hapo chini
1.Gerhard Ertl, who received the entire 2007 Nobel Prize in Chemistry for his studies of the catalytic effects of metal surfaces, has expressed surprise[35] and disappointment[36] that Gábor Somorjai, a foundational pioneer in modern surface science and catalysis, did not share the prize. Somorjai and Ertl had previously shared the Wolf Prize for Chemistry in 1998. The Nobel Prize committee's decision to exclude Somorjai was criticized in the surface-science community[37] and remains mysterious
2.From 1922 to 1946, Gilbert N. Lewis, who was widely known for covalent bond, electron pair, Lewis structure and other seminal contributions, was nominated 41 times for Nobel Prize in Chemistry but never won.[43][44] It has been speculated that while working in Walther Nernst's lab, Lewis apparently developed a lifelong enmity with Nernst. In the following years, Lewis started to criticize and denounce his former teacher on many occasions, calling Nernst's work on his heat theorem "a regrettable episode in the history of chemistry".[45] A friend of Nernst's, Wilhelm Palmær [sv], was a member of the Nobel Chemistry Committee. There is evidence that he used the Nobel nominating and reporting procedures to block a Nobel Prize for Lewis in thermodynamics by nominating Lewis for the prize three times, and then using his position as a committee member to write negative reports.
[46]
 
Thibitisha Yesu aliwalaani na thibitisha pia aliwaita Mayahudi.
Kwani ukimlaani mtu lazima udunishe na utu wake pia?
Anasema Allah mtukufu :

"Walialaaniwa wale waliokufuru miongoni mwa Wana wa Isarili kwa ulimi wa Daawuud na ‘Iysa bin Maryam. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakapindukia mipaka” (al Maaidah : 78).
 
nambie ambacho Mtume aliwahi kusahau
Tatizo unamsifu baba aisha mpaka unapitiliza

The Prophet (ﷺ) prayed (and the sub-narrator Ibrahim said, "I do not know whether he prayed more or less than usual"), and when he had finished the prayers he was asked, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Has there been any change in the prayers?" He said, "What is it?' The people said, "You have prayed so much and so much." So the Prophet (ﷺ) bent his legs, faced the Qibla and performed two prostration's (of Sahu) and finished his prayers with Taslim (by turning his face to right and left saying: 'As-Salamu `Alaikum- Warahmat-ullah'). When he turned his face to us he said, "If there had been anything changed in the prayer, surely I would have informed you but I am a human being like you and liable to forget like you. So if I forget remind me and if anyone of you is doubtful about his prayer, he should follow what he thinks to be correct and complete his prayer accordingly and finish it and do two prostrations (of Sahu
 
bahati mbaya wew hutaki kujifunza unaleta ligi na mimi vyote nipo ukitaka ligi au kujifunza
Ligi unahisi wewe tu lakini ukija na cha kunifunza ntajifunza lakini for now wew bado sana inabidi urudi madrassa
 
Kaka tafadhali utumie ubongo kidogo. Kati ya wanasanyansi bora duniani waliopokea Tuzo ya Nobel takriban asilimia 20 ni Wayahudi, ingawa Wayahudi wenyewe ni kundi ndogo , si asilimia 1 ya binadamu wote.
Ukifika hospitali na kupata tiba nzuri, ni shauri ya kazi ya wataalamu wengi pamoja na hao Wayahudi.
Machoni pangu mtaalamu anayefanya utafiti kwa manufaa ya watu wote anajitolea akichangia jambo muhimu kwa binadamu wote.
Asilimia 20 ni Wayahudi 8ilhali Wayahudi wote ni kama milioni 15 pekee duniani kati ya bilioni 7.

Wayahudi wanasisitiza elimu kwa watoto wao, kushinda jumuiya nyingi za dunia. Kama wote wangeisisitiza vile, tungekuwa mbele zaidi. Zao moja ya juhudi hiyo ni idadi kubwa ya wataalamu wanaopokea Tuzo ya Nobel kwa kazi bora ya kisayansi.

Ukipenda kuwajua kwa undnai zaidi, tafuta habari za hao wanaNobel Wayahudi waliopokea Tuzo ya Nobel ya Tiba:
Élie Metchnikoff, Robert Bárány, Otto Fritz Meyerhof, Karl Landsteiner, Otto Heinrich Warburg, Otto Loewi, Joseph Erlanger, Ernst Boris Chain, Hermann Joseph Muller, Gerty Cori, Tadeusz Reichstein, Selman Waksman, Hans Adolf Krebs, Joshua Led
Kweli wayahudi wako vizuri lakini hivi ni nani muamuzi kwamba tumaward huyu tumuache huyu? Halafu wayahudi Wana Tabia wakimuona mtu ni potential wanamuita wakwao ref Obama
 
hilo ni funzo kwa waumini siku wakikosea wafanyaje nimesha kuwekea hapo aya kabisa anasahau akipenda Mwenyezi Mungu kwaajili ya manufaa ya kidini wew umekomaa unabisha na sio hapo tu alisahau pia usiku wa Laila tul qadr hivyo kumi la mwisho ramadhani inabidi waumini tuutafute siku zote 10 ili hali Mungu alitaka iwe hivyo
Tatizo unamsifu baba aisha mpaka unapitiliza

The Prophet (ﷺ) prayed (and the sub-narrator Ibrahim said, "I do not know whether he prayed more or less than usual"), and when he had finished the prayers he was asked, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Has there been any change in the prayers?" He said, "What is it?' The people said, "You have prayed so much and so much." So the Prophet (ﷺ) bent his legs, faced the Qibla and performed two prostration's (of Sahu) and finished his prayers with Taslim (by turning his face to right and left saying: 'As-Salamu `Alaikum- Warahmat-ullah'). When he turned his face to us he said, "If there had been anything changed in the prayer, surely I would have informed you but I am a human being like you and liable to forget like you. So if I forget remind me and if anyone of you is doubtful about his prayer, he should follow what he thinks to be correct and complete his prayer accordingly and finish it and do two prostrations (of Sahu
 
na Mtume alikua ni Mtu tu kama ka wengine sema alichaguliwa na Mola kwa ajili ya misheni ya dini.. sema tofaut yake na watu wengine hakuwahi kua na upuuzi wala kupoteza muda miaka 23 ya utume wake alikua on point tu ndio maana kaacha dini imara ambayo ni changamoto kwa ulimwengu wa sasa hasa mataifa ya kimagharibi wanaotaka kuzuia but hawajui kitu imesukwa kwa sacrifice mpaka damu saivi wao ndio wanaunga tu juhudi wazungu kibao wameiona haki na kuifuata na kwa kila anae reason Basi Islam ndio dini pekee katka huu ulimwengu iliyo perfect..
 
Back
Top Bottom