Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

Aliwezaje kuhifadhi Quran nzima?
Hii Qur'an ni muujiza mkubwa na iliteremshwa kupitia kwake Muhammad s.a.w kwa muda wa miaka 23.Sasa kuweza kuihifadhi kwake wala si jambo la kushangaza kabisa kwani alitakiwa yeye awe mfano. Kupata hisia kuwa jambo hilo kwake halikupewa uzito ni kwamba hivi sasa na katika kila enzi kuna watu wengi sana walioihifadhi Qur'an yote na wengi ni watoto wadogo.Jambo hili haliwezekani kwa kitabu chochote kingine duniani. Jaribu kuhifadhi kitabu hata cha kurasa 100 utashindwa.Tena hicho kitabu kidogo bora iwe mtungaji ni wewe mwenyewe halafu tukishike kukusikiliza ukikisoma kwa ghaibu.Fikiria Qur'an kwamba haikuandikwa kama maandishi mengine ya kiarabu bali imewekwa na sehemu za kuvuta na kusita na kukazia katika kusoma.Wasomaji tunaozungumza walioihifadhi huisoma kwa kuzingatia vitu vyote hivyo.
 
Kumbe hujui Yassir Arafat kutoka Palestina alipokea Tuzo ya Nobel ya Amani?
Ila ni kweli Wapalestina kwanza ni Waarabu (ambao tangu karne kadhaa wamebaki nyuma katika uwanja wa elimu) pili wana mazingira magumu chini ya wanaisasa wao na pia uvamizi wa Israeli.
Hizi zawadi za Nobel hutolewa kwa madhumuni mbali mbali.Nyengine huwa ni kama rushwa ili mtu fulani apate kichwa afanye kitu fulani wakubwa wanachokipenda. Usishangae nobel nyengine kupewa wapumbavu wasiostahiki. Mfano ni hiyo nobel ya Yassir Arafat ambayo huenda wotoaji walijikuta wameboronga.Hatimae akawekwa kuzuizini na inasemekana aliuliwa kwa sumu.
 
Hii Qur'an ni muujiza mkubwa na iliteremshwa kupitia kwake Muhammad s.a.w kwa muda wa miaka 23.Sasa kuweza kuihifadhi kwake wala si jambo la kushangaza kabisa kwani alitakiwa yeye awe mfano. Kupata hisia kuwa jambo hilo kwake halikupewa uzito ni kwamba hivi sasa na katika kila enzi kuna watu wengi sana walioihifadhi Qur'an yote na wengi ni watoto wadogo.Jambo hili haliwezekani kwa kitabu chochote kingine duniani. Jaribu kuhifadhi kitabu hata cha kurasa 100 utashindwa.Tena hicho kitabu kidogo bora iwe mtungaji ni wewe mwenyewe halafu tukishike kukusikiliza ukikisoma kwa ghaibu.Fikiria Qur'an kwamba haikuandikwa kama maandishi mengine ya kiarabu bali imewekwa na sehemu za kuvuta na kusita na kukazia katika kusoma.Wasomaji tunaozungumza walioihifadhi huisoma kwa kuzingatia vitu vyote hivyo.
Dah yani maneno laki point zero..
.Muhammad aliihifadhije Quran?
Aliikariri yote au?
 
Watu wa dini ni katili sana wanaua sana watu kwa kisingizio cha dini.

Tena wanajihalalishia kabisa ukatili wao.
Wewe umeona wanaouwa tu ila wenye utu na wenye upendo hujawaona? Hujaona watu wa dini wakitoa misaada kusaidia watu,kulea watoto yatima na mfano wa hayo?na yote hufanya kwa sababu ya imani zao za dini.
 
Hizi zawadi za Nobel hutolewa kwa madhumuni mbali mbali.Nyengine huwa ni kama rushwa ili mtu fulani apate kichwa afanye kitu fulani wakubwa wanachokipenda. Usishangae nobel nyengine kupewa wapumbavu wasiostahiki. Mfano ni hiyo nobel ya Yassir Arafat ambayo huenda wotoaji walijikuta wameboronga.Hatimae akawekwa kuzuizini na inasemekana aliuliwa kwa sumu.
Napendekeza tuache Tuzo ya Amani kando. Maana swali ni nani anayechangia amani ni swali la kifalsafa au kisiasa . Kama walimteua Arafat au Obama au sijui nani.
Ila Tuzo za Kisayansi (Fizikia, Kemia, Tiba) - je una mfano kuna "wapumbavu" waliopokea tuzo hizo? Naomba mifano yako, tusijadili hewani.
Nilitaja hapo juu majina ya wenye Tuzo ya Tiba waliokuwa Wayahudi. Nasisitiza kila unapoingia hospitalini unapata faida ya michango yao.
Ukipinga: tafadhali lete majina na mifano!
 
Mayahudi ni watu wa njama daima na kupokea tu,hakuna wanachotoa.Wanapenda watajwe vyema lakini wanatenda uovu.Wanataka uhusiano mzuri na ndugu wa wapalestina na wakati huo huo wanawakandamiza na kuwavunjia majumba yao bila haya.
Ndiyo maana huo mtaala uliotumika kukufundisha wewe unabadilishwa. Baada ya kubadilishwa na wewe kujifunza upya utakuja na maoni tofauti.
Angalau sasa umeweza kujua kwamba elimu mliyo mezeshwa ni full of propaganda pia ni itikadi.
 
Anawaita mayahudi sababu anawafananisha na mashetani

Ina tone fulani hivi ya chuki za kijinga .

Hawa ndio wanajifanyaga wafia dini kindakindaki ndio Hawa huwa wanajilipuaga na mabomu wakidhani watapata bikra 72 wenye macho Kama vikombe

Upuuzi mtupu
Yaani anaacha kutumia fursa ya mwili na uhai kujitafutia na kujifaidia mabikira angalau wawili watatu hapa duniani, yeye anajiua na kuua watu wengine ili akawapate mbinguni ambapo hata kua na mwili wa kuwahitaji hao mabikira? Au hawajui baada ya kifa atabaki na nafsi ambayo hatakua na haja wala tamaa za kimwili?
Kama kungekua na ukweli wa kushiriki tendo la ndoa baada ya kifo basi wale mashababi alio waua kipindi anajilipua ndiyo wangeenda kuwa mabwana zake.
 
Napendekeza tuache Tuzo ya Amani kando. Maana swali ni nani anayechangia amani ni swali la kifalsafa au kisiasa . Kama walimteua Arafat au Obama au sijui nani.
Ila Tuzo za Kisayansi (Fizikia, Kemia, Tiba) - je una mfano kuna "wapumbavu" waliopokea tuzo hizo? Naomba mifano yako, tusijadili hewani.
Nilitaja hapo juu majina ya wenye Tuzo ya Tiba waliokuwa Wayahudi. Nasisitiza kila unapoingia hospitalini unapata faida ya michango yao.
Ukipinga: tafadhali lete majina na mifano!
Tuzo ya amani ya Nobel ilikua inaheshimika sana duniani, na wal wote walioipata kabla ya Obama heshima yao bado ipo juu.
Tuzo hii ilipoteza heshima yake baada ya kutunukiwa Obama. Ilikosa kabisa maelezo kwamba ametunukiwa ya nini, nadhani hata Obama aliishaa oia nahisi alii challenge. Binafsi tangu mara ya mwisho nisikia ametunukiwa Ibama sijawahi kuifuatilia wala kujua mtunukiwa mwingine alikua ni nani?
 
Napendekeza tuache Tuzo ya Amani kando. Maana swali ni nani anayechangia amani ni swali la kifalsafa au kisiasa . Kama walimteua Arafat au Obama au sijui nani.
Ila Tuzo za Kisayansi (Fizikia, Kemia, Tiba) - je una mfano kuna "wapumbavu" waliopokea tuzo hizo? Naomba mifano yako, tusijadili hewani.
Nilitaja hapo juu majina ya wenye Tuzo ya Tiba waliokuwa Wayahudi. Nasisitiza kila unapoingia hospitalini unapata faida ya michango yao.
Ukipinga: tafadhali lete majina na mifano!
Kwa bahati unajadiliana na mtu ambaye sio kama yule Laila ila ....
Umesema tuache habari za tuzo za Nobel na haikuwezekana tumerudi kule kule. Na mimi nililposema Nobel Nyengine zinatlewa kirushwa na hata kwa wapumbavu sikubainisha kuwa ni zile za kisayansi au za nyanja nyengine kama za akina Obama. Kama umepata picha kuwa hizo zawadi za Nobel si jambo kubwa katika dunia na zinaweza kutolewa kwa malengo kama nilivyosema hapo juu. Sasa usishikilie kuwa hizo Nobel za wanasayansi kama ni wa kiyahudi au wengineo ndizo safi na tukufu sana. Mimi hizi nazo pia hazinishtui.Najua wengi wanaopewa hawastahiki kupewa sifa na kutukuzwa mpaka tukamsahau Mwenyezi Mungu.
Aliyepewa zawadi ya Nobel atakuwaje mtu wa maana iwapo katika hicho alichokiona hakumtaja Mungu hata nukta moja kama kwamba yeye ndiye aliyekiumba.
Nani katika binadamu atakayejichukulia sifa kwa kujua namna electron na chembechembe nyingi zisizoonekanaa zinavyojipanga na kupita maeneo yasiyoonekana na kusababisha mabadiliko yanayowafaa watu na bila kumtaja Mwenyezi Mungu. Hicho alichokiona Einstein mbinguni alichangia nini kukipa mpangilio na athari zake.Wavumbuzi wa namna hii ndio binadamu wanawapa sifa na wako wanaowadharau waislamu eti hawaoni vitu kama hivyo na kujaribu kutoa picha kuwa ni milki ya wayahudi na wakristo,
Waislamu wavumbuzi wakubwa hawapati zawadi kama hizo ilhali wao wangepaswa sifa hizo kwa haki kabisa kwa vile wakivumbua huwa wanamtaja Mwenyezi Mungu katika uvumbuzi huo.
 
Mayahudi ni watu wa njama daima na kupokea tu,hakuna wanachotoa.Wanapenda watajwe vyema lakini wanatenda uovu.Wanataka uhusiano mzuri na ndugu wa wapalestina na wakati huo huo wanawakandamiza na kuwavunjia majumba yao bila haya.

Wapuuzi sana hawa na sijui kwa nini Dunia uwachukulia as if wanaonewa, sijui nini? Wana-take advantage ya kudai eti waliuwawa million sita wakati wa WW2 na hakuna aliye wahi kulidhibitisha hilo, Warusi walikufa million ishirini wakati wa WW2 lakini hilo uwa alisemwi wanakazania la Wayahudi tu as if raia na askari walipoteza maisha Duniani during WW2 wakiwemo askari kutoka barani Afrika hao si kitu.Wanapora aridhi Waarabu (Palestina) wanazikalia kimabavu wana wasomba Waethiopia wenye asili ya kiyahudi kwenda kuishi kwenye aridhi waliyo pora waarabu na Dunia imekaa kimya.

Wayahudi - wanachukulia umiliki wao mkubwa wa vyombo vya habari (MSM) Duniani pamoja na umilikaji wa vyombo vikubwa vya fedha Duniani wanavitumia kuendeleza propaganda zao za uongo na kweli, ndio wali-finance WW1 na WW2, kwao vita ndio wakati mzuri wa kuvuna fedha - ndio mpaka sasa wanachochea sana pawepo WW3 aidha kwa Amerika kuivamia/shambulia kijeshi Iran au US kupigana vita na Urusi au Uchina - Natenyahu na gege lake wanashabikia sana kuwepo kwa WW3 ndio maana alikuwa haelewani na Barak Obama.
 
Bila shaka kulikuwa na kipindi katika historia ambako jamii ya Waislamu ilkuwa mbele katika sayansi duniani. Hii sababu moja kwa nini kemia ina maneno mengi ya Kiarabu ndani yake (mfano: alcohol, alkali), pamoja na algorithm na mengine. Majina mengi ya nyota ni za Kiarabu kutokana na umaarufu wa sayansi ya Waislamu kama vile Altair, Aldebaran, Betelgeuse, Vega, Rigel na Algol.
Ila hii ni historia, katika siku za nyuma walibaki nyuma sana. Mfano ni idadi ndogo ya vitabu vinavyotolewa kwa Kiarabu, hasa kwa sababu ya mazingira ya Kidikteta katika nchi nyingi zinazotawaliwa na Waislamu wa siku hizi.
Ambayo bila shaka ni jambo la kutafakari.

Mkuu mtu yeyote aliye soma mpaka Chuo Kikuu anajua mchango wa Waarabu katika masuala ya sayansi na hesabu, mpaka sasa Dunia inatumia namba za kiarabu katika mahesabu na sio za kirumi huo ni ushahidi tosha kwamba waarabu walikuwa mbali sana kisayansi na kimahesabu.
 
Kwa bahati unajadiliana na mtu ambaye sio kama yule Laila ila ....
Umesema tuache habari za tuzo za Nobel na haikuwezekana tumerudi kule kule. Na mimi nililposema Nobel Nyengine zinatlewa kirushwa na hata kwa wapumbavu sikubainisha kuwa ni zile za kisayansi au za nyanja nyengine kama za akina Obama. Kama umepata picha kuwa hizo zawadi za Nobel si jambo kubwa katika dunia na zinaweza kutolewa kwa malengo kama nilivyosema hapo juu. Sasa usishikilie kuwa hizo Nobel za wanasayansi kama ni wa kiyahudi au wengineo ndizo safi na tukufu sana. Mimi hizi nazo pia hazinishtui.Najua wengi wanaopewa hawastahiki kupewa sifa na kutukuzwa mpaka tukamsahau Mwenyezi Mungu.
Aliyepewa zawadi ya Nobel atakuwaje mtu wa maana iwapo katika hicho alichokiona hakumtaja Mungu hata nukta moja kama kwamba yeye ndiye aliyekiumba.
Nani katika binadamu atakayejichukulia sifa kwa kujua namna electron na chembechembe nyingi zisizoonekanaa zinavyojipanga na kupita maeneo yasiyoonekana na kusababisha mabadiliko yanayowafaa watu na bila kumtaja Mwenyezi Mungu. Hicho alichokiona Einstein mbinguni alichangia nini kukipa mpangilio na athari zake.Wavumbuzi wa namna hii ndio binadamu wanawapa sifa na wako wanaowadharau waislamu eti hawaoni vitu kama hivyo na kujaribu kutoa picha kuwa ni milki ya wayahudi na wakristo,
Waislamu wavumbuzi wakubwa hawapati zawadi kama hizo ilhali wao wangepaswa sifa hizo kwa haki kabisa kwa vile wakivumbua huwa wanamtaja Mwenyezi Mungu katika uvumbuzi huo.
Tafadhali tusipoteze mwelekeo. Wewe ulidai hapo juu Wayahudi ni watu wa "kupokea tu, hakuna wanachotoa". Naona hii si kweli nikakupa mfano wa wanasayansi Wayahudi waliochangia mengi kwa manufaa ya ubinadamu, kwa mfano kwa kuleta majina 44 ya wataalamu Wayahudi waliopata Tuzo ya Nobel ya Tiba. (sikusema tuache Tuzo ya Nobel, nilisema tuache hapa Tuzo ya Nobel ya Amani).
Binafsi sijali sana "utukufu" wa tuzo hizo bali matendo na elimu iliyofunuliwa na hao wanaopata tuzo. Najua wako wengine ambao wangefaa kupata lakini hawakupata. Ila hao waliopata walistahili kwa hakika kutambuliwa kuwa ni watu watu waliochangia mengi. Kinyume na yale uliyodai hapo juu.
Niliomba tusijadili hewani. Ukiona kuna wataalamu waliopata tuzo lakini hawakufaa: TAFADHALI UTAJE MAJINA NA SABABU.
Pia ukidai wako wataalamu Waislamu walionyimwa TAFADHALI UTAJE MAJINA NA SABABU.

Mimi namjua Mohammad Abdus Salam aliyepata Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka 1979; ila tu katika nchi yake haruhusiwi kuitwa "mwislamu" kwa sababu alikuwa Ahmadiyya ambao hawatambuliwi na Waislamu wengine na kuteswa katika Pakistan. Pia Ahmed Zewali na Aziz Sancar walipokea tuzo ya Kemia. Ukiona ni Waislamu wachache nakubali; ila mimi naona sababu katika hali ya duni ya sayansi katika nchi za Waislamu kutokana na itikadi zilizosambaa siku hizi kati yao (pamoja na kupoteza nguvu zao katika hadithi za kitoto kuhusu ubaya wa Wayahudi); hivyo wako hali duni siku hizi ukilinganisha na karne za nyuma ambako Waislamu walikuwa mbele kimataifa.
 
Mkuu mtu yeyote aliye soma mpaka Chuo Kikuu anajua mchango wa Waarabu katika masuala ya sayansi na hesabu, mpaka sasa Dunia inatumia namba za kiarabu katika mahesabu na sio za kirumi huo ni ushahidi tosha kwamba waarabu walikuwa mbali sana kisayansi na kimahesabu.
Nakubali kabisa; jinsi nilivyosema juu: katika karne za nyuma wataalamu Waislamu walikuwa mbele kabisa kimataifa; lakini tangu karne kadhaa hawakuendelea tena. Dalili yake ni tangu Tuzo ya Nobel ilianzishwa miaka 120 iliyopita kuna wanasayansi watatu (au 2 ) Waislamu pekee walioipata! Linganisha na wanasayansi mamia Wayahudi waliopata tuzo hizo za Kemia, Fizikia na Tiba.

(Pia: ukisoma juu, mwenzetu Ami anadokeza wako wataalamu wengi Waislamu ambao walinyimwa tuzo hizo; sidhani ni kweli lakini nilimwomba alete majina na kazi waliyofanya ili tuone)
 
Atakuja akuambie jamii inayosisitiza elimu kuliko zote ni jamii ya kiislam maana hata muhamad alipotokewa na pepo pale pangoni usiku lilimuambia mara tatu..Soma,Soma,Soma

Lakini mpaka anakufa alikuwa hajui kusoma na kuandika(illiterate)
kwahio elimu ni kujua kusoma na kuandika? elimu zipo nyingi katka dunia hii... but case ya Muhammad SAW ni tofauti hakutakiwa kujua kusoma wala kuandika maana walianza kuzusha katunga Quran. swali linakuja katungaje asie jua kusoma wala kuandika so hio ilikua protection ya Quran dhid ya iman..
 
kwahio elimu ni kujua kusoma na kuandika? elimu zipo nyingi katka dunia hii... but case ya Muhammad SAW ni tofauti hakutakiwa kujua kusoma wala kuandika maana walianza kuzusha katunga Quran. swali linakuja katungaje asie jua kusoma wala kuandika so hio ilikua protection ya Quran dhid ya iman..

Umemjibu vizuri sana. Akija kuletw ujuaji, atakuwa mgonjwa wa akili mwenye kufaa kupuuzwa.
 
Back
Top Bottom