Wayahudi wazidi kuishangaza dunia, watengeneza gari linalotumia maji badala ya mafuta

Wayahudi wazidi kuishangaza dunia, watengeneza gari linalotumia maji badala ya mafuta

Brands za israel hazijawahi kufaanikiwa embu achana na ulichokaririshwa kwa mchungaji wako
Naona muisrael wa mbagala unabishana hadi na waisrael wa tel aviv ambao wametumia hela nyingi kufanya research wakatoa habari, ila ukishiba makande unaropoka tu kisa umeambiwa na mchungaji wako
Huo ni msimamo wako wa kigaidi
 
Sio israel tu nchi nyingi zimejaribu kutengeneza mashine kwa kutumia nishati mbadala lakini gari za diesel na petrol zimeendelea kuleta ufanisi mkubwa sana kwa watumiaji ,na ukiangalia israel hana historia ya kufanya vizuri kwenye global market bidhaa zake mara nyingi zinashindwa kushindana sokoni, tofauti na wenzake wa asia, europe na marekani
Lini uliwaongelea Israel kwa mazuri?
 
Hata kama likija sokoni, inawezekana likawa expensive sana..............ila tuendako hata ungo unaweza kuwa ugunduzi wetu
 
Huo ni msimamo wako wa kigaidi
Na hawa ynet news kutoka tel aviv nao ni magaidi ? Maana ndio waliofanya research na kuja na conclusion hiyo, au mwenzetu unajua zaidi ya wao kuhusu israel?
 

Attachments

  • Screenshot_20240907-182854_Chrome.jpg
    Screenshot_20240907-182854_Chrome.jpg
    498.9 KB · Views: 2
Hawajaanza wao sema wao wameshikilia media za dunia sasa wanadanganya wameanza wao.

Waongo sana hao.

Hio teknolojia sio ya leo, ya kabla ya mafuta kuanza kutumika.
Tupe ushahidi sio kila wakati ni kuleta tu chuki za kipumbavu za kidini halafu utuletee na ya Iran, Yemen na Afghanistan.
 
Kampuni ya Israel, iitwayo Electriq Global, imetengeneza gari yenye mfumo wa kubadilisha maji kuwa nishati ya kuendeshea gari.

Gari hilo, ukijaza maji kwenye tank, utahitajika kujaza mengine baada ya kilometa 1,000.

Mfumo wa nishati ya gari hilo ni kwamba unatengeneza hewa ya hydrogen kutoka kwenye maji uliyoyajaza, na hydrogen ndiyo inayoliendesha gari hilo. Wataalam wa masuala ya nishati wanasema kuwa ugunduzi huu wa nishati ya maji katika kuendesha magari, unaweza kuwa ni safari ya kuiaga petrol na nishati nyingine zenye madhara kwa mazingira. Bado haijajulikana gari hili linaweza kuingia sokoni baada ya muda gani. Kwa sasa bado lipo kwenye majaribio mbalimbali.

Ugunduzi wa nishati mbadala litakuwa ni janga kubwa la kiuchumi kwa mataifa hasa ya Kiarabu, yale ambayo uchumi wake kwa kiasi kikubwa unategemea mafuta. Hapa myahudi atakuwa amefanikiwa kummaliza kabisa adui yake mkuu Iran, ambaye uchumi wake, kwa zaidi ya 80% unategemea mauzo ya mafuta pekee yake.

Ugunduzi huu si wa ajabu kutoka kwa hawa watu, maana kuna gunduzi msululu za sayansi na tekinolojia, zinazotumika Dunia nzima, zilizofanywa na hawa watu. Ingependeza siku moja wagundue silaha inayoua gaidi pekee, ikiwaacha watoto na watu wengine wote wasio na hatia. Maana vifo vya watoto wadogo pale Palestina, vinaumiza na kusikitisha sana.

Soma Pia: Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

The water-powered car technology developed by the Israeli company Electriq Global utilizes a unique nano-technology that is able to split water into hydrogen and oxygen through a specialized membrane.

This membrane acts like an electrolytic cell, using electricity to break down the water molecules into their composite elements. The hydrogen produced from the reaction is then fed into the vehicle’s fuel cell.

In the fuel cell, the hydrogen combines with oxygen from the air to generate an electric current. This electricity powers the car’s electric motor, propelling the vehicle. Unlike traditional combustion engines, the only byproduct from this reaction is water, meaning the car emits only clean water vapor rather than any harmful emissions.

The test car achieved speeds over 70 mph and required no engine modifications besides connecting to an external water tank and fuel converter. Further road tests are planned using a Suzuki Vitara SUV retrofitted with a larger fuel converter and water tank to extend its range.

Electriq’s goal is to demonstrate over 600 miles per tank, comparable to traditional gasoline vehicles. So far, the technology has shown excellent results in normal driving conditions.

The truth is that a water car could be the end of petrol and all polluting fuels. We have known for years that hydrogen would play a very important role in the decarbonisation of mobility, but not to this extent. Will we soon see it on our roads? Let’s hope so, given its advantages.
Toyota.
 
Tupe ushahidi sio kila wakati ni kuleta tu chuki za kipumbavu za kidini halafu utuletee na ya Iran, Yemen na Afghanistan.
Mkuu hii technology ipo tangu 1860 na ilianzia france sio ngeni , na jana gari ya kwanza kwenye karne hii imetengenezwa na toyota japan
 

Attachments

  • Screenshot_20240907-200818_Chrome.jpg
    Screenshot_20240907-200818_Chrome.jpg
    95.2 KB · Views: 2
Mkuu kwa hilo sio kweli hebu angalia Israel ameuwa masikini zaidi 40,000 na ni mkakati wa kuchukua ardhi yote ya Palestina
Kuhusu mafuta wao pia sio wajinga wameisha tahadharishwa zamani sana kuhusu hili la mafuta
Ila biashara ya mafuta haitakwisha labda kwa magari lakini viwanda vitaendelea kutumia mafuta na hata meli
Sio waarabu wote wana mafuta na hao wenye mafuta kama Qatari wameisha nunua nusu ya utajiri wa london

UAE wako vizuri bila mafuta na Saudia wana dhahabu nyingi sana

Kama ni njaa inakupelekea kuwa gaidi basi Africa tungeuana
Hapana ugaidi ni jadi, Afrika ugaidi sio jadi yetu.
 
Hayo ni mataifa yanayoiba teknologia ya wengine
Huwezi kuiba teknolojia usiyo ielewa; na pia inabidi uelewe kwamba hakuna taifa hata moja ambalo ndilo pekee linahodhi teknolojia.
 
Kwa hiyo wewe unaamini tutakuwa na hali hiyo hiyo milele; na kwamba tuikubali hali kama ilivyo, au unasemaje mkuu wangu!
Yaani sijui unaongelea nini ......?? Wewe sijui raia wa Burundi? Hapa kwangu tu leo umekatika mara 2 sasa ndio tufate uhalisia kwamba hii treni kuichaji labda ni masaa3 ndio betri liwe full ........umeme umekatika mara tatu mpaka nne kwa siku moja au usiwake kabisaaa huoni kama ni shido???
 
Yaani sijui unaongelea nini ......?? Wewe sijui raia wa Burundi? Hapa kwangu tu leo umekatika mara 2 sasa ndio tufate uhalisia kwamba hii treni kuichaji labda ni masaa3 ndio betri liwe full ........umeme umekatika mara tatu mpaka nne kwa siku moja au usiwake kabisaaa huoni kama ni shido???
Huu tusi ufanye mjadala kama ni jambo la maana sana kuongelewa. Hakuna mtu mwenye kuitakia Tanzania mema anaye fikiri nchi hii itabaki kuwa katika hali hiyo milele; hapana, isiwe "milele"; kwa sababu mimi siioni Tanzania ya aina hiyo unayo iona wewe, hata katika muda mfupi wa miaka miwili mitatu baada ya utawala mbovu huu kuondolewa..

Lakini hata kama tungebaki kuwa na uhaba wa nishati hiyo kama unavyo ielezea hapa; bado ninge dhani kuwa ungetambua kwamba "Betri" ya kuendeshea treni isinge kuwepo moja tu; kwamba kila inapo tumika inasubiriwa hiyo hiyo ichajiwe tena upya huku treni hiyo ikisubiri hadi Betri yake ijazwe ndipo iweze kuendelea na shughuli zake.
Betri iliyokwisha inaondolewa inawekwa nyingine na kazi inaendelea.

Na hata hivyo, badala ya kuwa 'pessmistic' kama ulivyo, ningekuelewa sana kama ungejaribu kuwa na mchango wa kutatua matatizo kama haya, au ushauri juu yake.

Kwa mfano: wewe huoni nasi tungesifika endapo kama tunge changia kuifanya treni hiyo iendeshwe na 'Solar'; kwani hapa kwetu kila mara jua lipo. Tutashindwa kweli kuweka tu 'photovoltaic panels' kwenye treni hiyo na kuendelea kuchaji hizo betri zetu?
 
Kampuni ya Israel, iitwayo Electriq Global, imetengeneza gari yenye mfumo wa kubadilisha maji kuwa nishati ya kuendeshea gari.

Gari hilo, ukijaza maji kwenye tank, utahitajika kujaza mengine baada ya kilometa 1,000.

Mfumo wa nishati ya gari hilo ni kwamba unatengeneza hewa ya hydrogen kutoka kwenye maji uliyoyajaza, na hydrogen ndiyo inayoliendesha gari hilo. Wataalam wa masuala ya nishati wanasema kuwa ugunduzi huu wa nishati ya maji katika kuendesha magari, unaweza kuwa ni safari ya kuiaga petrol na nishati nyingine zenye madhara kwa mazingira. Bado haijajulikana gari hili linaweza kuingia sokoni baada ya muda gani. Kwa sasa bado lipo kwenye majaribio mbalimbali.

Ugunduzi wa nishati mbadala litakuwa ni janga kubwa la kiuchumi kwa mataifa hasa ya Kiarabu, yale ambayo uchumi wake kwa kiasi kikubwa unategemea mafuta. Hapa myahudi atakuwa amefanikiwa kummaliza kabisa adui yake mkuu Iran, ambaye uchumi wake, kwa zaidi ya 80% unategemea mauzo ya mafuta pekee yake.

Ugunduzi huu si wa ajabu kutoka kwa hawa watu, maana kuna gunduzi msululu za sayansi na tekinolojia, zinazotumika Dunia nzima, zilizofanywa na hawa watu. Ingependeza siku moja wagundue silaha inayoua gaidi pekee, ikiwaacha watoto na watu wengine wote wasio na hatia. Maana vifo vya watoto wadogo pale Palestina, vinaumiza na kusikitisha sana.

Soma Pia: Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

The water-powered car technology developed by the Israeli company Electriq Global utilizes a unique nano-technology that is able to split water into hydrogen and oxygen through a specialized membrane.

This membrane acts like an electrolytic cell, using electricity to break down the water molecules into their composite elements. The hydrogen produced from the reaction is then fed into the vehicle’s fuel cell.

In the fuel cell, the hydrogen combines with oxygen from the air to generate an electric current. This electricity powers the car’s electric motor, propelling the vehicle. Unlike traditional combustion engines, the only byproduct from this reaction is water, meaning the car emits only clean water vapor rather than any harmful emissions.

The test car achieved speeds over 70 mph and required no engine modifications besides connecting to an external water tank and fuel converter. Further road tests are planned using a Suzuki Vitara SUV retrofitted with a larger fuel converter and water tank to extend its range.

Electriq’s goal is to demonstrate over 600 miles per tank, comparable to traditional gasoline vehicles. So far, the technology has shown excellent results in normal driving conditions.

The truth is that a water car could be the end of petrol and all polluting fuels. We have known for years that hydrogen would play a very important role in the decarbonisation of mobility, but not to this extent. Will we soon see it on our roads? Let’s hope so, given its advantages.
Nikujuze tu Hizi engine za kutumia maji na mambo ya nishati mbadala wazungu wameshahangaika sana tangu 1860 huko hadi leo bado hawajafanikiwa kuondoa ubora wa diesel engines na petrol engines sokoni
Emgine ya kwanza ya kutumia maji ilitengenezwa 1860 ufaransa na mtu anaitwa ettien wakaendelea kuboresha lakini ikashindwa kuingia sokoni kwa sababu mbali mbali
China wana hadi treni inatumia maji ipo kwa zaidi ya miaka kadhaa sasa, ila juzi wameismamisha baada ya operation cost kuwa kubwa
Kwahiyo hakuna kipya hapo diesel na petrol itaendelea kuwa bodhaa muhimu kwa karne kadhaa zijazo
 

Attachments

  • Screenshot_20240908-075315_Chrome.jpg
    Screenshot_20240908-075315_Chrome.jpg
    396.9 KB · Views: 2
Kampuni ya Israel, iitwayo Electriq Global, imetengeneza gari yenye mfumo wa kubadilisha maji kuwa nishati ya kuendeshea gari.

Gari hilo, ukijaza maji kwenye tank, utahitajika kujaza mengine baada ya kilometa 1,000.

Mfumo wa nishati ya gari hilo ni kwamba unatengeneza hewa ya hydrogen kutoka kwenye maji uliyoyajaza, na hydrogen ndiyo inayoliendesha gari hilo. Wataalam wa masuala ya nishati wanasema kuwa ugunduzi huu wa nishati ya maji katika kuendesha magari, unaweza kuwa ni safari ya kuiaga petrol na nishati nyingine zenye madhara kwa mazingira. Bado haijajulikana gari hili linaweza kuingia sokoni baada ya muda gani. Kwa sasa bado lipo kwenye majaribio mbalimbali.

Ugunduzi wa nishati mbadala litakuwa ni janga kubwa la kiuchumi kwa mataifa hasa ya Kiarabu, yale ambayo uchumi wake kwa kiasi kikubwa unategemea mafuta. Hapa myahudi atakuwa amefanikiwa kummaliza kabisa adui yake mkuu Iran, ambaye uchumi wake, kwa zaidi ya 80% unategemea mauzo ya mafuta pekee yake.

Ugunduzi huu si wa ajabu kutoka kwa hawa watu, maana kuna gunduzi msululu za sayansi na tekinolojia, zinazotumika Dunia nzima, zilizofanywa na hawa watu. Ingependeza siku moja wagundue silaha inayoua gaidi pekee, ikiwaacha watoto na watu wengine wote wasio na hatia. Maana vifo vya watoto wadogo pale Palestina, vinaumiza na kusikitisha sana.

Soma Pia: Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

The water-powered car technology developed by the Israeli company Electriq Global utilizes a unique nano-technology that is able to split water into hydrogen and oxygen through a specialized membrane.

This membrane acts like an electrolytic cell, using electricity to break down the water molecules into their composite elements. The hydrogen produced from the reaction is then fed into the vehicle’s fuel cell.

In the fuel cell, the hydrogen combines with oxygen from the air to generate an electric current. This electricity powers the car’s electric motor, propelling the vehicle. Unlike traditional combustion engines, the only byproduct from this reaction is water, meaning the car emits only clean water vapor rather than any harmful emissions.

The test car achieved speeds over 70 mph and required no engine modifications besides connecting to an external water tank and fuel converter. Further road tests are planned using a Suzuki Vitara SUV retrofitted with a larger fuel converter and water tank to extend its range.

Electriq’s goal is to demonstrate over 600 miles per tank, comparable to traditional gasoline vehicles. So far, the technology has shown excellent results in normal driving conditions.

The truth is that a water car could be the end of petrol and all polluting fuels. We have known for years that hydrogen would play a very important role in the decarbonisation of mobility, but not to this extent. Will we soon see it on our roads? Let’s hope so, given its advantages.
Naomba picha ya hiyo Gari
 
Back
Top Bottom