Wazalendo tunaoamini TAIFA STARS hawatatoka na point hata moja tukutane hapa

Wazalendo tunaoamini TAIFA STARS hawatatoka na point hata moja tukutane hapa

mr mkiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
5,588
Reaction score
11,668
Kiukweli kabisa timu yetu imepita kuwa miujiza tu, ni timu mbovu kabisa ambayo uwezo wa wachezaji tu ni mbovu.

Tulipaswa kutengeneza timu yetu hata kwa miaka 20 kama ilivyofanya Senegal

Hatuwezia kuwa na timu ambayo Aina chemistry katika kujengeka katika umoja.

Mpira sio mapenzi ambayo unafanya ukitaka watu wasione unaweza lakini Mpira haupo hivyo.

Najaribu tu kuwa mkweli katika hili

Yani karibu wabunge wote wanataka kwenda huko ili ni dalili za hali mbaya ya uchumi katika nchi yetu.

Nasema hatuwezi kupata hata point moja katika makundi.

Nasema ni kipingo tu.

mr mkiki.
 
Back
Top Bottom