Karibu sana.Jamani hodi humuuu....ndugu yenu nimefika nimekulia tanga pia kwetu barabara ya 20 town kabisa apo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana.Jamani hodi humuuu....ndugu yenu nimefika nimekulia tanga pia kwetu barabara ya 20 town kabisa apo
Komredi tutake radhi, Tanga ya jana si Tanga ya leo!!Mmeacha Kuwaroga Wageni na kupenda sana kuruka na Bombardier zenu za asili / kitamaduni hata Saa 6 mchana?
Woyooooooo nisalime 19Jamani hodi humuuu....ndugu yenu nimefika nimekulia tanga pia kwetu barabara ya 20 town kabisa apo
Nhaha umbuje, piika zabanaNghambia umbuje mbon huoneka
Usheaghe san umbujeNhaha umbuje, piika zabana
[emoji3][emoji3]wavivu utawajua tu kwa porojoSiye tunaridhika na rizki ndogo haya mambo ya kujilimbkizia mali ndiyo mwanzo wa kumkufuru Muumba
Hamna mbui, Ugone wedi!Usheaghe san umbuje
Hongea umbujeHamna mbui, Ugone wedi!
Utafiti upi tena mkuu ambao sitatumia macho kuona kama imekufa.aliyekuambia minazi imeisha ni nani? fanya research
Hata kwa kusikia badoI can't answer that as it's a very private matter
E wauUgone mpeho
Yani wewe uko k/koo unabishana na mimi mfua nazi japokuwa wewe mzawa lakini huna taarifa sahihi ya hali inavoendelea huku kwenu.aliyekuambia minazi imeisha ni nani? fanya research
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] kwetu town tunaringa tanga 1Watanga mkuje uzi usipoe huu yaan wale chato watushinde na uz wao kwanz kwao porin[emoji18][emoji18][emoji18][emoji29][emoji29][emoji29][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mimi nilikuwa uko juzi tu nimerudi nipo dar ila inshallah ntarudi tena baada ya km miez miwiliNani anakaa kange tutafutane tukagonge supu ya pweza barabara ya 15??
Kumbe na wewe mtanga mmhh nimekuogopa tangu leoUsheaghe san umbuje
Wee, mnapandikiza na milimao ni magwadu hatariTeeeeeh huna haya kuna chungwa tamu kama la tanga
Siyo central police.....pana jengo la ilikuwa community centre zamani huko....ikiwa watoka nguvumali, soko la kisosora kushoto centre kulia....Haha
Central ipo chumbageni bhana.
Hapo kisosora ila ni upande wa nguvu mali huo kuna kota za jwtz wa kange.
Hamna lolote magwadu sanaHajala machungwa ya Kibanda huyu
Hata ukiona kaburi langu utasema halinyookaHamna lolote magwadu sana