ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
Haya mbwangaHongea wau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mbwangaHongea wau.
Zi teleKunani paleee tangaa hv bombadier zaonekana huko?
dah! home Moro ila nipo Lukozi nauza mavovo(mbogamboga) I love TangaTanga ndo home...Lushoto.
I love Tanga jamani.
Wale wa Lukozi...njia ya Mtae pale kwa vigingi.
Hahahhahaa siehatuna mambo hataMnamambo nyie
Yeye: we Vic weenda api mbna wanipita
Mimi: naenda apo kwa abushiri
Yeye abushiri akupa nini uyo we njoo ..........tuangalie 5select nipo mwenyewe
Can't forget those days
Kunani paleee tangaa hv bombadier zaonekana huko?
Ndo maana wamekaa ndani tu kama ndondocha kwa madawa yenu hayo hata kazi hawafanyi na imepelekea Tanga kuwa ghofu.Unaona wanaume zetu hutupiga kwa upande wa khanga sasa kwa minyika ucharazwe makofi mpaka uso uvie damu
Saa ivi nko vizuri hadi wenyeji wanikomaUkiwa Tanga ongea Kiswahili cha Tanga
Uzi maalumu kwa wana JF walio zaliwa Mkoa wa Tanga
Hata kama haupo Tanga ila Tanga ndio Nyumbani basi husika Hapa.
Dhumuni ni kufahamiana.
Wa T.A tujimwae mwae humu.
TANGA NDIO HOME![]()
vitana ukhutyMgoshe wed wandugh
Twalima Mazao ya muda mrefu mkuu ukiwa na kiunga cha minazi na shamba la machungwa ni kuvuna na kufyeka majani tuNdo maana wamekaa ndani tu kama ndondocha kwa madawa yenu hayo hata kazi hawafanyi na imepelekea Tanga kuwa ghofu.
Naomba uniwekee nakuja wiki ijayo[emoji23] [emoji23] [emoji23] poyeee me ndio najinywea
Mkuu ntakutafuta uwe mwenyeji wangu maana nataka kuja kulima pilipili manga hukodah! home Moro ila nipo Lukozi nauza mavovo(mbogamboga) I love Tanga
ukija lazima tukujaribu uzito wako mkuu ukiwa mzito zaid yetu basi tunakupa heshima yakoMmeacha Kuwaroga Wageni na kupenda sana kuruka na Bombardier zenu za asili / kitamaduni hata Saa 6 mchana?
Hakuna kilimo cha kimasikini kama hichi chenu, machungwa yamejaa ukungu, minazi pangani imeisha sijui mnategemea nini au bahari pia ni maji tu tunapiga picha tukiwa ufukweni basi.Twalima Mazarin ya muda mrefu mkuu ukiwa na kiunga cha minazi na shamba la machungwa ni kuvuna na kufyeka majani tu
Mkuu huku milimani ni viazi mviringo, zucchini, coli, blukolin, sereli, karoti, vitiuti,cabage wenyewe wanaita mavovo. pilipili manga huko muheza na handeni nadhan, karibu sana ulaya ndogo( Usoto)Mkuu ntakutafuta uwe mwenyeji wangu maana nataka kuja kulima pilipili manga huko
Ok, mchunga hamlimi maana nyie nasikia mboga mboga ndo zao lenu la biashara!Mkuu huku milimani ni viazi mviringo, zucchini, coli, blukolin, sereli, karoti, vitiuti,cabage wenyewe wanaita mavovo. pilipili manga huko muheza na handeni nadhan, karibu sana ulaya ndogo( Usoto)
Siye tunaridhika na rizki ndogo haya mambo ya kujilimbkizia mali ndiyo mwanzo wa kumkufuru MuumbaHakuna kilimo cha kimasikini kama hichi chenu, machungwa yamejaa ukungu, minazi pangani imeisha sijui mnategemea nini au bahari pia ni maji tu tunapiga picha tukiwa ufukweni basi.
Mbadilike nyie wabondei, wazigua, wasambaa na wadigo
I can't answer that as it's a very private matterJe ni kweli kwamba wadada wa tanga weng wao ni dual sim? Yan wanapenda kurukwa ukuta?