mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,536
Hahaha kivyere tena kwa nani mayooUkaramkaze kivyere
Mie n mnono simanya uwe aah za siku nyingi? Ukaderwaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kivyere tena kwa nani mayooUkaramkaze kivyere
Ndiyo starehe ya lugha hiyo - bila jasho.Huwa napenda mnavyotamka maneno Kwa kilugha chenu, utafikiri mmegolewa baadhi ya meno! Kweikwei =kweli kweli.
Weshu, usiwatishe hawa. Waache waje halafu walishwe mavitu wasirudi kwao hawa wanyika. Tunahitaji nguvu kazi.Unaijua nyama ya kisimini wewe?
Ukilishwa hiyo, kwenu Chato hurudi tena.
Kuna nyama ya mkia wa kondoo...nyama ya ubavu wa mbweha.
Njoo...utasahau kwenu
kwenye maduka ya nafaka hapo au? kwa kina hamdaniPoa nanibue karibu barabara ya 15
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Weshu, usiwatishe hawa. Waache waje halafu walishwe mavitu wasirudi kwao hawa wanyika. Tunahitaji nguvu kazi.
Inabidi uelewe maana ya bara na pwani ili ujue mantiki ya huo msemo, la sivyo wewe ndio unakuwa kituko.Eti watu wa Tanga nao wanawaita Watu wa Mikoani ,,wa kutoka Bara", hili lilinishangaza sana, nilifikiri ni msemo wa watu wa Dar tu!
Lusanga Lusanga, you heard!Muheza moja hala
Oooh wew simmanya uweeHahaha kivyere tena kwa nani mayoo
Mie n mnono simanya uwe aah za siku nyingi? Ukaderwaa?
mueleweshe kama tunavyowaita kabila lingine wanyikaInabidi uelewe maana ya bara na pwani ili ujue mantiki ya huo msemo, la sivyo wewe ndio unakuwa kituko.
na iwe mndugh ngetionane kioiMgoshe wed wandugh
Mungu akikundana iwe mndugh ngetionane kioi
[emoji120]Mungu akikunda
Pale jktTanga oyooooooooooooooooooooo,,,,,maramba
Tena bora wa dar kuliko hawa wakuna nazi wa tangaEti watu wa Tanga nao wanawaita Watu wa Mikoani ,,wa kutoka Bara", hili lilinishangaza sana, nilifikiri ni msemo wa watu wa Dar tu!
Hahahaa naona raha sana jamani utamaja chidide chidideOooh wew simmanya uwee
[emoji3][emoji3]umebadili lafdhi ee?Wataka kusema Tanga ni bara?
Niko home[emoji3][emoji3]umebadili lafdhi ee?