ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
Ukaramkaze kivyereTeeeh!!!! Unaambadze uwe??? We jitire koma na koma zina enye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukaramkaze kivyereTeeeh!!!! Unaambadze uwe??? We jitire koma na koma zina enye
Kwa atama muiyeeeUnu uzi utatama
Ntakuja Keshkaribuni bombo area
Msimu wa sambia ni ini mndughu zitantamia zijaeka du
Huhuuuuu tanga oyeee uzaonaeeeeKwa atama muiyeee
nateia basi mndugu hata me nazitamia kweikweiMsimu wa sambia ni ini mndughu zitantamia zija
Poa nanibue karibu barabara ya 15karibuni bombo area
[emoji3]Ntakuja Kesh
Uwooooo zumbe mungunateia basi mndugu hata me nazitamia kweikwei
eka tighojeUwooooo zumbe mungu
Oooh wanitisha sasa sitoenda tena TangaUrudi kwani umesahau nini?
Kwetu kwanoga
Mmmh, na kule Masiwani na Makojoni!Kisosora ,,,chumvini ,,,mabokweni,,,,mpk maramba,,, tupo mkuu
Hemna mbui mndughueka tighoje
Ukiwa Tanga. Usipo kunywa anjari bado haupo Tanga. Mate yananitoka. Itabidi kesho ipande raha leo ije Dodoma. Napamiss homemzaona mambo ya kaya haya![]()
Huwa napenda mnavyotamka maneno Kwa kilugha chenu, utafikiri mmegolewa baadhi ya meno! Kweikwei =kweli kweli.nateia basi mndugu hata me nazitamia kweikwei
Unaijua nyama ya kisimini wewe?Oooh wanitisha sasa sitoenda tena Tanga
hatai kwei kweiHuwa napenda mnavyotamka maneno Kwa kilugha chenu, utafikiri mmegolewa baadhi ya meno! Kweikwei =kweli kweli.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] poyeee me ndio najinyweaUkiwa Tanga. Usipo kunywa anjari bado haupo Tanga. Mate yananitoka. Itabidi kesho ipande raha leo ije Dodoma. Napamiss home
Ndio hiv ukanimanya kare!!!We mdigo? Hahaha