mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Naja my dearest.Karibu daku best.
Mjini kuelekea Mombasa kote kwetu huko.
Yaani hakuna anaetokea kijijini uzi mzima[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naja my dearest.Karibu daku best.
Mjini kuelekea Mombasa kote kwetu huko.
Nasubiri daku mkuunilidhan umelala mkuu
Halafu wee mbona lugha ako kama wa bara eti!Karibu daku best.
Mjini kuelekea Mombasa kote kwetu huko.
Mimi Hapa ni wa wilayani Pangani Mkuu na wengine wa wilayani mbona wapo wengi tu usome post mkuuNaja my dearest.
Yaani hakuna anaetokea kijijini uzi mzima[emoji3][emoji3]
Siku ya kwenda pemba unambie twende woteKaribu daku best.
Mjini kuelekea Mombasa kote kwetu huko.
Halafu weweee [emoji23] Mbona nilikokutajia kuna vijiji jamani. Ila nina wasiwasi na ujio wako kwenye huu uzi aisee.Naja my dearest.
Yaani hakuna anaetokea kijijini uzi mzima[emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3]matombo au msamvu?Na sisi wa Morogoro je?
Karibu mkuu. Mnakosa bahari tu lakini mngekuwa kama wa Tanga.Na sisi wa Morogoro je?
[emoji3][emoji3]kwa nini dear? Hujasema wilaya directHalafu weweee [emoji23] Mbona nilikokutajia kuna vijiji jamani. Ila nina wasiwasi na ujio wako kwenye huu uzi aisee.
Akaa. Nshakuona upande wa pili hata sitakwambia.Siku ya kwenda pemba unambie twende wote
Pangani kubwa, kipumbwi, mkalamo, madanga, sakura au masaika?Mimi Hapa ni wa wilayani Pangani Mkuu na wengine wa wilayani mbona wapo wengi tu usome post mkuu
[emoji3][emoji3]wapi huko jamani?Akaa. Nshakuona upande wa pili hata sitakwambia.
Nasubir jibu lake namimHalafu weweee [emoji23] Mbona nilikokutajia kuna vijiji jamani. Ila nina wasiwasi na ujio wako kwenye huu uzi aisee.
Nimekulia Bara ila Tanga ndio home.Halafu wee mbona lugha ako kama wa bara eti!
HahahaKaribu mkuu. Mnakosa bahari tu lakini mngekuwa kama wa Tanga.
Nilipita tu kuwasabaiAkaa. Nshakuona upande wa pili hata sitakwambia.
Kama mimi vile, hapo utakuwa unajua kisukuma tupu[emoji3]Nimekulia Bara ila Tanga ndio home.
[emoji2]
Niachie huyooo mkuu, JF nakusaidianaNifundishe kisambaa mkuu, kuna demu hapa nataka nimtongoze kwa kisambaa
Nimeona sehemu maneno yako ya shombo.[emoji3][emoji3]wapi huko jamani?
Ewaaa, jirani yangu kabisa wa damuMkinga