Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Ok dear, naona unajiandaa kula daku unasingizia kulala[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Ok dear, naona unajiandaa kula daku unasingizia kulala[emoji3]
Karibu sana,ukiwa mstaarab tutakuekea wali na Mahaba yakeAsante. Basi mimi mgeni wako siku ya idd
Mikanjuni hiyo au sioKwa njeka ndiko nilikozaliwa ba kukulia
Nimekutafuta sana.[emoji125] [emoji125] [emoji125]
wew mpepelezi bila ya shakaNimekutafuta sana.
Sijui niseme jana.
Kumbe upo huku!!
Kwanza unatokea Tanga?
Una roho ngumu wewe, hadi vya wenzio unataka? Hustahili hata kukaa karibu na shemeji yako!Niachie huyooo mkuu, JF nakusaidiana
[emoji144] [emoji144] [emoji144]Usijali Ngoja kupambazuke ntakuweka sawa na utaikubali tu Tanga hata kwa shingo upande [emoji23] [emoji23]
Hahaha, mkuu si umefunga lakini?Karibu sana,ukiwa mstaarab tutakuekea wali na Mahaba yake
Wewe lala au ndo wale mnaovizia dakuNimekutafuta sana.
Sijui niseme jana.
Kumbe upo huku!!
Kwanza unatokea Tanga?
saa hizi sijafunga mkuuHahaha, mkuu si umefunga lakini?
labda Futar iliyo baki kwahyo unaenda kuifanya DakuHaya jamani. Huku kwetu ndio jua linazama saa hizi. Ngoja nikafuturu kwa jarani yangu.
Baadae.
Mmhh. Wacha weeeAsante. Basi mimi mgeni wako siku ya idd
Ameshaanza kustaarabika si unamuona kaanza kupoa tofauti na comments zake za mwanzo [emoji23] [emoji23]Karibu sana,ukiwa mstaarab tutakuekea wali na Mahaba yake
Nimekutafuta sana.
Sijui niseme jana.
Kumbe upo huku!!
Kwanza unatokea Tanga?
Ni futari mkuu. Tunapishana masaa saba.labda Futar iliyo baki kwahyo unaenda kuifanya Daku
Nini kinakufanya uogope sasa?Mbona mnatuogopesha sasa?