Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Nimeona sehemu maneno yako ya shombo.

Tanga ndio kwetu haijalishi kukoje wacha tujisifie bwana kila mji una vituko vyake na ubaya wake.

Tangaa ooyeee.
Hehehe kwenye huu uzi ee? Sometime unajitoa akili ili kuona kama wazawa wanaweza kutetea kwao kwa facts
 
Hehehe kwenye huu uzi ee? Sometime unajitoa akili ili kuona kama wazawa wanaweza kutetea kwao kwa facts
Usijali Ngoja kupambazuke ntakuweka sawa na utaikubali tu Tanga hata kwa shingo upande [emoji23] [emoji23]
 
umevuka ila hujapataja Bweni ,Mimi ni wa Pangani Mjini kama ni mwenyeji Mzee wangu ni ALMaarufu kwa Jina Shariffu Saidi Hassan
Hehe you real a native broo.
Namsikia huyu mzee, unamjua hamad mlangi yule mzee mwenye duka mkono wa kushoto kama unatoka halmashauri?
 
Back
Top Bottom