Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kumbe!Nipo Mwifwa ila jana nilikuwa na mambo mengi ya kufanya nyumbani , huku niliingia kwa muda mfupi.
Tanga ndio nyumbani [emoji2]
Nimeona umechangia kwenye huu uzi hadi nimeshindwa kujizuia kutokuuliza.
Tanga naipata kidogo kama mitaa ya Msambweni, chumbageni, Raska zone, Tanga fresh na Lushoto japo mi sio wa huko.