Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Hii hatari, wanaosema tanga uchumi haupo wamefika tanga gani ? Njooni muone mahanjumati hayoooooooo. Kama huna hela utanunulia nini ? Badala ya kuja tanga eti mwenda dodoma. Mayoooooo kweli zimtini.
Kweli akili yako iko kwenye kisosi, uchumi wa maandazi na bagia
 
Ndio mkuu, tizaivana
 
[emoji2] [emoji2] itakuwa ndio hicho hicho ninachokifikiria ujue. Au njoo kule uniambie basi. [emoji124] [emoji124]
Ewaaa, hehe itakuwa ndo hicho hicho. Ngoja nije huko chumbani sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…