Good,wapite mpaka maeneo ya Makorora kulikokuwa na lami miaka ile...mimi niko huku kikazi na ndio nyumbani....barabara zinajengwa kwa kiwango cha lami kuanzia njia panda ya msambweni mpaka sahare....karibuni Tanga wakuu
Bado yapo mkuu...Siku hizi tanga mapenzi yameisha
Yapapo teleeeSiku hizi tanga mapenzi yameisha
Mbona siyaoni au sikuwa na bahati?Yapapo teleee
Yes hukubahatikaMbona siyaoni au sikuwa na bahati?
Kwako yapo nije bibieYes hukubahatika
mimi niko huku kikazi na ndio nyumbani....barabara zinajengwa kwa kiwango cha lami kuanzia njia panda ya msambweni mpaka sahare....karibuni Tanga wakuu
Wandele wakagonaWa Tanga mpo
(Mzigua,Shunie Sky eclat, ukhty na wengineo
Mkuje uku)
Soi kunu
Hili tag lilikataa ndio maana sijaupata ujumbe mdogo wangu. πππWatanga mmelala@shunie@shadeeya
Yapapo teleee
πππYes hukubahatika
Looh nitarudi darasan hy mshimeyavyenu au badoHili tag lilikataa ndio maana sijaupata ujumbe mdogo wangu. πππ
Tupo tumejaa telee.
Tumefika my dearWandele wakagona
Yabidi mdogo wangu. Ngoja nije. πββοΈπββοΈπββοΈLooh nitarudi darasan hy mshimeyavyenu au bado
HyYabidi mdogo wangu. Ngoja nije. πββοΈπββοΈπββοΈ
Mara yamwisho kunywa hii kitu chupa ilikuwa ya glass. Wakati ukutaView attachment 1257673 Tuweni makini na hiki kinywaji chetu pendwa watu wa tanga leo nimegundua chupa nyingi ambazo zipo madukani ni expired [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Umekosea sana. Ulipaswa uandike 'Wenyeji wa Tanga'. Inawezekana mtu akazaliwa kagera lakini wazazi wake wana asili ya Tanga.Uzi maalumu kwa wana JF walio zaliwa Mkoa wa Tanga
Hata kama haupo Tanga ila Tanga ndio Nyumbani basi husika Hapa.
Dhumuni ni kufahamiana.
Wa T.A tujimwae mwae humu.
TANGA NDIO HOME