Usekujaa kibwando, mnkoswe, na magobo. Magobo ya nazi ne yenye kwa kugea kibanga.Kaibuni wagosi na kina mmaa! Ugai na msunga heee kuna papa naho igewa nazi, ngogwe, biinganya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usekujaa kibwando, mnkoswe, na magobo. Magobo ya nazi ne yenye kwa kugea kibanga.Kaibuni wagosi na kina mmaa! Ugai na msunga heee kuna papa naho igewa nazi, ngogwe, biinganya.
Eee zumbe, kitaa mghoshi?Waghoshi nzeze aho kaya ongai mshi au hemkunda
La mabovuDaraja la mabovu au kiboi
Utajiju hatulali na njaa sieee jij letu limebarikiwa neemaTanga mivivu
Tanga niifananishe nawapi mkuu??? Tuko hukubara twahangaikia hizo pesa tuu, mihogo yanazi, vibibi, mahamri, mkate wakumimina navimiss haswaWe unataka uchumi gani ? Tanga haina njaa mkuu na uchumi uko stable sana. Unaifananisha na mkoa gani labda ?
ntana mghoshi angizeinywiWaghoshi nzeze aho kaya ongai mshi au hemkunda
hivi si umeshauriwa kwenye huo uzi wako jamaan
Nighambia mndeeoyeeeee
Hehee utani tu wakwetukwa niniiii
Halafu wewe jamaaMama katokea potwe muheza na baba katokea bwembwera muheza lakini cjazaliwa Tanga
We call you mbondeiMama katokea potwe muheza na baba katokea bwembwera muheza lakini cjazaliwa Tanga
tiwedi angezeinywiNighambia mndee
sawa sawaHehee utani tu wakwetu