Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

washambaa mzaivaa na mzaona?
f2c52f7d985bef21d00f35e2f03db976.jpg
Yan umenishekesha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ne tiite
 
Watu wa Tanga badilikeni,huu uzi ungekuwa ni Uzi wa maendeleo,kujulishana fursa na ujasariamali ndani ya mkoa kwenu.Na kufahamishana kazi,biashara,ukulima kwa kila aliyeko katika eneo alilopo au nje ya hapo,kama kuna fursa gani za kimaendeleo.Sio kutoleana maneno ya kejeli na kubaguana kikabila.
Umekariri mkuu
 
Amna mkuu watu wanafunga kuanzia saa 11alfajir nawew uliniuliza za usiku ndio mana nikakuambia saa hiz sijafunga ila muda huu nimefunga
Hehe aya buana. Muda wenyewe wa iftari umefika karibia tukifinye mkuu
 
Watu wa Tanga,Uzi huu ufanyeni wa maendeleo,wenye kujuwa biashara,wawajuze wenzao,biashara zinavyokwenda.Wakulima,wawape wenzao,mbinu za kilimo bora,wafugaji,wafanyakazi,wajasriamali,toeni elimu zenu hapa,muendeleze mkoa wenu.Acheni kukejeleani kimakabila,kwenye jambo la kitaifa la kimaendeleo,mnaweka kando ukabila.
 
Back
Top Bottom