ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 948
- 548
- Thread starter
- #581
Kusema kwel nimeambiwa mim ni mzigua tangu mtoto ila sijui kizigua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe hii comment yako imenikumbusha mbali 2007 nilikutana na wakaka wa ki-Ganda kazini basi walipojua mimi m-Tanzania sikumoja mmoja aliniambia kumbe wanawake wa ki-Tanzania pia wanasoma sisi tunajua ni wazuri wa kupika pilau na chapati. Uhusiano wetu uliishia pale.Bibie uko Bright sana sikutegemea kama Utakuwa Mtanga kwa kweli unajua nyumbani kule wengine ni kina maalim/Ustadhati so ni weupe ktk mambo ya Kidunia
Hahahhaaa mbona me sina mtoto jamaniUchiona hivyo umanye aronda muunge udugu muaroze anachenu, vivyere mmenjane jamani
Tushamuacha naona rsha sanaKamanya aendaro mriche iye.
Mimi Urafiki wetu usiishe sasa Japo hatufahamiani ila mimi pia mtanga BestYaani wewe hii comment yako imenikumbusha mbali 2007 nilikutana na wakaka wa ki-Ganda kazini basi walipojua mimi m-Tanzania sikumoja mmoja aliniambia kumbe wanawake wa ki-Tanzania pia wanasoma sisi tunajua ni wazuri wa kupika pilau na chapati. Uhusiano wetu uliishia pale.
Nishamricha atajimanya mwenye na shidazeAnakoma zamlunguni hiye mriche undamtia tego aawiwe maako
Hautakufa bestMimi Urafiki wetu usiishe sasa Japo hatufahamiani ila mimi pia mtanga Best
Nashukuru, December tutafutane Tukatumie Forodhani mji wetu nao ata Urabu hakunaHautakufa best
daku je umesha lifinyaHehe aya buana. Muda wenyewe wa iftari umefika karibia tukifinye mkuu
oyeeeee leo kumepoa kunani yakheeeOyeeeeeeeeeeeeee
Bungu mojaNakumbuka tu korogwe
TupoooWatanga wenzangu mpooo