real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Tanga sehemu gani dada?Yap tupo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanga sehemu gani dada?Yap tupo mkuu
Nipo bibie.Watanga wenzangu mpooo
TipoooooWatanga wenzangu mpooo
Sawa mkuu twajiungaTukutane basi kwenye group moja la whatsapp plz. Bonyeza hilo neno [emoji116]kujiunga.
TANGA KWETU
OyeeeeeeeeeeeeTangaaaaaaaaaaaa[emoji120]
Tupoooooooo,tulikuwa tunafuturuuuWatanga wenzangu mpooo
aisee sikuona ila futar naifanya daku muda sio mrefu karibuUko wap nije ftur
Leo ftar kwakoaisee sikuona ila futar naifanya daku muda sio mrefu karibu
Unaona raha sana kutumalizia dada zetuIam in
From 10 to 21years
Nimekuwa tanga
So Mimi ni ndugu enu bana
Nimewafaidi sana wadigo wanashobo sana kwa wageni
Ana komaTeeeh!!!! Unaambadze uwe??? We jitire koma na koma zina enye
kumbeYap tupo mkuu
unakaa tanga bado?Hahaha njoo kwetu jamani
Kwa sas sip hukounakaa tanga bado?
Kwanini uhusiano wenu uishie hapo au ulichukulia kama ni kejeli flani hivi au?Yaani wewe hii comment yako imenikumbusha mbali 2007 nilikutana na wakaka wa ki-Ganda kazini basi walipojua mimi m-Tanzania sikumoja mmoja aliniambia kumbe wanawake wa ki-Tanzania pia wanasoma sisi tunajua ni wazuri wa kupika pilau na chapati. Uhusiano wetu uliishia pale.