Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Yolanda. sabuni kodrai. kampuni ya mafuta Bp na caltex. Jumba la sinema shani, sapna, avalon. baiskeli ya swala. avon. phoenix.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Umesahau fete fete, tegetelo,shemeji shemeji video, salah kamuuwa Katewa,Mkude veve karuka Daraja la Kagera.Namit na kadi.Daladala la chambo tuu
Samahani mzee..naomba unijuze je migahawa ya butiama na shibamu iliyopo magomeni ni ile ile iliyopo hadi leo na je maeneo ni yale yale hadi sasa?Redio 277
James Jason
Wewe ni wa Morogoro!!Yolanda. sabuni kodrai. kampuni ya mafuta Bp na caltex. Jumba la sinema shani, sapna, avalon. baiskeli ya swala. avon. phoenix.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mzee mitaa ya kwetu na kapu lake mkononi na manyanga alikuwa maarufu sana. Yeye na kichaa mmoja alikuwa anaitwa Kejeli!!Ila alikuwa anauza karanga nzuri balaa! Tatizo ukimsikia na manyanga yake anakuja unakimbia unaenda kujificha chini ya kitanda!
Duh Kejeli nalikumbuka hilo jina. Kuna kichaa mwingine alikuwa anaitwa Mapisto unamkumbuka?Huyu mzee mitaa ya kwetu na kapu lake mkononi na manyanga alikuwa maarufu sana. Yeye na kichaa mmoja alikuwa anaitwa Kejeli!!
Huyo walikuwa wanapishana na Sancho njiani!!Duh Kejeli nalikumbuka hilo jina. Kuna kichaa mwingine alikuwa anaitwa Mapisto unamkumbuka?
Sancho simkumbuki. Ila maisha ya zamani yalikuwa simple sanaHuyo walikuwa wanapishana na Sancho njiani!!
Hio ya chini sio Vespa?View attachment 1417643
JBourne59 hii tulikuwa tunaiita "Skuta" au kwa jina lake halisi ni "Scooter".
Hii hapa chini ndiyo Batavuzi!!
View attachment 1417641
Wahenga wa mjiniHuu uzi wa watu wa Dar
Sana. Nakumbuka Manzese yote, Mburahati, Mabibo, Sinza, Tandale, na magomeni yote vituo vya polisi vilikuwa viwili tu. Urafiki na Magomeni. Kote huko wananchi walikuwa wanajilinda wenyewe na kuendesha maisha yao kwa jinsi wanavyoona!!Sancho simkumbuki. Ila maisha ya zamani yalikuwa simple sana
Yap! Vespa ndiyo ilikuwa inaitwa "Batavuzi"Hio ya chini sio Vespa?
Hata mimi naona, ngoja nianzishe na mimi uzi wa sisi wa BushWahenga wa mjini
Nilistuka siku moja niko Arusha naingia Lodge nakaribishwa "karibu Mzee". Duh. Niliwaza sana!!Hata mimi naona, ngoja nianzishe na mimi uzi wa sisi wa Bush