Hahahahaaaaaa.....Yaaaani nacheeeka sina mbavu..!Hio kweli mkuu, meli imeondoka ikaenda kule mbele ikaweka nanga kama wiki hivi,jamaa wanaibuka chimbo usiku kucheki mataa ya Oysterbay wakajua washafika kwa Madiba wakajitosa kwenye maji wameogolea kufika ufukweni wanakutana na kibao 'USIOGELEE HAPA' hapo ndio wakajua wameibukia coco beach!
Maeneo ni yaleyale, ila Butiama hakujabadilika sana lakini kidogo Shibam kumebadilikaSamahani mzee..naomba unijuze je migahawa ya butiama na shibamu iliyopo magomeni ni ile ile iliyopo hadi leo na je maeneo ni yale yale hadi sasa?
uliitaja hii migahawa kwenye simulizi yako ya hamida
Wengi wanachanganya kati ya:-Hio ya chini sio Vespa?
Hapana!Yap! Vespa ndiyo ilikuwa inaitwa "Batavuzi"
Huweki / Hutaji kumbukizi za huku kwingine ndio maana unaona kama ni uzi wa wahenga wa Dar, laa hasha.Hata mimi naona, ngoja nianzishe na mimi uzi wa sisi wa Bush
Duh unajua hadi mtaa wa Suna? Suna si bondeni kiaina. Bado nakumbuka Mitaa kutoka chini kitonga,korongo,kongwa,dossi,tosheka,idrissa,...,mwisho garden ni uwalani au kiwalani.Wengi wanachqnganya kati ya:-
Batavuz
na Vespa ama Scooter.
Nimekumbuka miaka ya 1980 kulikuwa na "Bajaj" mtaa wa Sunna Magomeni, alikuwa akiiendesha mzee mmoja wa Kipemba somebody Mganda (au baba Mganda or something). Alikuwa anabulemavu wa miguu.
Wakati huo Kampuni ya simu bado hawakiwa nazo!
James Jason
Sawa ngoja nitaanza baadaeHuweki / Hutaji kumbukizi za huku kwingine ndio maana unaona kama ni uzi wa wahenga wa Dar, laa hasha.
Weka kumbukizi za huko kwingine.
James Jason
Mkadini hahhahhaa, kulikuwa na chimbo la Safari, Pilsiner na KonyagiDuh unajua hadi mtaa wa Suna? Suna si bondeni kiaina. Bado nakumbuka Mitaa kutoka chini kitonga,korongo,kongwa,dossi,tosheka,idrissa,...,mwisho garden ni uwalani au kiwalani.
Kuna ule unatoka juu hadi chini mkadini
Tuletee za maharage kupimwa kwa lita! Hii issue ilileta kizaazaa 😀 😀 😀 😀 😀 😀Sawa ngoja nitaanza baadae
Imasco [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Mbowe,DDC (Kariakoo/Magomeni Kondoa), Imasco, Lang'ata, Mambo club, Rungwe oceanic, Silver sands, Msasani beach, La Dolce vita, Casanova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee ujue mimi nawashangaa mnaoshangaa. Kama inawezekana kupimwa kwa debe nini cha ajabu kupima kwenye lita?Tuletee za maharage kupimwa kwa lita! Hii issue ilileta kizaazaa 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Dah...Kwani wahenga range yao ikoje? Isije kuwa sina sifa[emoji2960]Hata mimi naona, ngoja nianzishe na mimi uzi wa sisi wa Bush
Ni kweli huna sifa
Wala sijashangaa coz nilielewa straight away, ni maharage yanajazwa kwenye kikopo cha lita moja. Wenzio wamekariri lita ni kipimo cha vimiminika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee ujue mimi nawashangaa mnaoshangaa. Kama inawezekana kupimwa kwa debe nini cha ajabu kupima kwenye lita?
Duh mimi naijua moja ilikuwa mtaa wa Idrissa MagomeniKuna muhenga alieifahamu GLC PHOTO STUDIO kinondoni mtaa wa ufipa pale?
Enzi zile late 70's
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...kweli..maana nimeanza kula shikamoo mwanzoni mwa 60's [emoji41]Ni kweli huna sifa
Ahaa okeyWala sijashangaa coz nilielewa straight away, ni maharage yanajazwa kwenye kikopo cha lita moja. Wenzio wamekariri lita ni kipimo cha vimiminika