Wazanzibar kuongoza Wizara/Taasisi zisizo za Muungano imekaaje kisheria?

Wazanzibar kuongoza Wizara/Taasisi zisizo za Muungano imekaaje kisheria?

.kama hatutadai kwa nguvu zetu zote
Nguvu gani unaongelea mkuu? Kama unamaanisha kupiga kelele mitandaoni na kwenye mikutano ya siasa ama vijiwe vya kahawa sahau kupata katiba mpya.

Katiba huwa inadaiwa kwa vita/mapigano tu. Nje ya hapo tutasubiri Sana. Kwa kulijua hili ndiyo maana ccm wanagawa vyeo kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Ili kuendelea kutawala milele.

Kwa ukondoo huu wa watanzania tutakaa Sana.
 
Habari wanajamvi,

Wiki hzi tatu au mwezi huu tumekuwa na mijadala mingi hasa inayohusu uteuzi na teuzi mbalimbali.

Kinacholeta mjadala kingine ni katika masuala ya Muungano, Nacho nauliza kama ifuatavyo:

1. Je, inaruhusiwa kwa Mzanzibari kuongoza Wizara/taasisi ambayo haipo katika masuala ya Muungano, mfano Afya?

2. Kama ni sahihi, je mbona Watanganyika hatupewi nafasi za kuongoza wizara/taasisi zisizo za muungano kule Zanzibar?

3.Kama si sahihi, je ni kwa nini kinafanywa na nini kifanyike?
Kama mzanzibar anaweza kuwa rais wa Tanzania na Tanzania Bara (Tanganyika), iweje iwe ngumu raia wa zenji kuongoza huto tu taasisi twenu ?
 
Ninavyojua Mimi Wasukuma wengi Kama sio wote ni Watanzania lakini Si Watanzania wengi au wote ni Wasukuma. Kuwa Msukuma kunakupa fursa kubwa ya kuwa Mtanzania lakini kuwa Mtanzania hakukupi fursa kubwa ya kuwa Msukuma. Ikikupendeza penye neno msukuma weka Mzanzibari.
 
siyo sahihi kwa mzanzibari kuongoza taasisi ambazo si za kimuungano.shida sisi watz tunaburuzwa kutokana na hili likatiba feki.kama hatutadai kwa nguvu zetu zote kupata katiba nzuri basi tutaendelea kuburuzwa na wazanzibari mpaka kitapokuja kizazi kingine ambacho kitajitambua lkn kwa katiba hii hatuwezi kutoboa.
Gereza la fikra ni baya sana, hivi hapo mlipo au ulipo ni kipi ambacho unataka kukifanya lakini Katiba ya sasa inakunyima uhuru huo ? Achilia mbali hizi nafasi za kisiasa ambazo hazina tija kivileeee.
 
Wao Wanakwambia Kuna serikali ya zazibar , na ya Jamhuri ya Muungano , Tanganyika haipo ,kumbe wazanzibr uwa wanalalamika kwamba wamefichwa kwenye koti la muungano, ili kucheza na akili za wabara, kumbe wao ndo wametumeza japo wapo Chache,

Wao tz nzima ni ruksa kula bata, ala sie wabara wametufungia jela ndogo, tule bata , tujenge, tununue ardhi bara, Zanzibar big no
Zanzibar ipo lkn Tanganyika ilikufa siku ya muungano. Kwahiyo kuna watanzania na wazanzibari lkn hakuna watanganyika..

Kwahiyo ni ruksa kwa mzanzibari kushika nafasi yoyote ile.

Tatizo muungano wetu umekaa kigoloko Sana. Haiwezekani nchi 2 zikaungana halafu kukaendelea kuwa na nchi 2.
 
Habari wanajamvi,

Wiki hzi tatu au mwezi huu tumekuwa na mijadala mingi hasa inayohusu uteuzi na teuzi mbalimbali.

Kinacholeta mjadala kingine ni katika masuala ya Muungano, Nacho nauliza kama ifuatavyo:

1. Je, inaruhusiwa kwa Mzanzibari kuongoza Wizara/taasisi ambayo haipo katika masuala ya Muungano, mfano Afya?

2. Kama ni sahihi, je mbona Watanganyika hatupewi nafasi za kuongoza wizara/taasisi zisizo za muungano kule Zanzibar?

3.Kama si sahihi, je ni kwa nini kinafanywa na nini kifanyike?
Ni sahihi kabisa kwa Mzanzibari kuongoza taasisi ambayo sio ya muungano kwasababu kila Mzanzibar ni Mtanzania, hivyo ana haki zote za Watanzania wengine wote. Ila sio kila Mtanzania ni Mzanzibari, hivyo wenye haki kuongoza taasisi za Zanzibar ni Wazanzibari pekee.
P
 
Habari wanajamvi,

Wiki hzi tatu au mwezi huu tumekuwa na mijadala mingi hasa inayohusu uteuzi na teuzi mbalimbali.

Kinacholeta mjadala kingine ni katika masuala ya Muungano, Nacho nauliza kama ifuatavyo:

1. Je, inaruhusiwa kwa Mzanzibari kuongoza Wizara/taasisi ambayo haipo katika masuala ya Muungano, mfano Afya?

2. Kama ni sahihi, je mbona Watanganyika hatupewi nafasi za kuongoza wizara/taasisi zisizo za muungano kule Zanzibar?

3.Kama si sahihi, je ni kwa nini kinafanywa na nini kifanyike?
Umeuliza swali la msingi. Juzi hapa alipoteuliwa mzanzibari kuwa mkuu wa wilaya Iringa nilijiuliza swali kama hilo.

Katiba imeorodhesha mambo ya muungano 22. Tamisemi ambayo ndiyo wizara inayohusika na wakuu wa wilaya haimo kwenye orodha hiyo. Hata hivyo, namba 9 kwenye mambo hayo 22 ni utumishi katika serikali ys jamhuri ya muungano. Hapa ndipo mkanganyiko unaanzia.

Nipo kwenye mashauriano na wanasheria kabla ya kufungua shauri mahakamani kuomba tafsiri sahihi kisheria juu ya hili.

Kwa muono wangu, watumishi lengwa ambao ni kutoka Zanzibar wangekuwa exclusively kwenye mambo yaliyo kwenye muungano. Si hii ya kuletewa magavana kama sie ni koloni.

Ni jambo linalohitaji tafsiri ya mahakama tu.
 
Habari wanajamvi,

Wiki hzi tatu au mwezi huu tumekuwa na mijadala mingi hasa inayohusu uteuzi na teuzi mbalimbali.

Kinacholeta mjadala kingine ni katika masuala ya Muungano, Nacho nauliza kama ifuatavyo:

1. Je, inaruhusiwa kwa Mzanzibari kuongoza Wizara/taasisi ambayo haipo katika masuala ya Muungano, mfano Afya?

2. Kama ni sahihi, je mbona Watanganyika hatupewi nafasi za kuongoza wizara/taasisi zisizo za muungano kule Zanzibar?

3.Kama si sahihi, je ni kwa nini kinafanywa na nini kifanyike?
@Pascal Mayalla sababu ni kujipendekeza tu, mtu kujipendekeza uwe na faida hata iwe ni yakijinga mfano tunazinyima family zetu, tunaenda kuhonga vimada hiyo ni faida ingawa ni yakijinga lakini hii yakujipendekeza kwetu kwa wazanzibari, hakuna tunachofaidika na tunaishi kuhonga tu
 
Back
Top Bottom