The Dark Father
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,144
- 1,408
Ngoja,
Nchi ina serikali 2.
Moja ya Muungano, moja ya Zanzibar.
Sasa mambo ya kiserikali na kiutawala yasiyohusu muungano na yasiyo ya zanzibar, ni ya serikali ipi au uongozi upi?
Nchi ina serikali 2.
Moja ya Muungano, moja ya Zanzibar.
Sasa mambo ya kiserikali na kiutawala yasiyohusu muungano na yasiyo ya zanzibar, ni ya serikali ipi au uongozi upi?